Nyanda za Juu Kusini rasmi imeibwaga Kanda ya Ziwa kiuchumi na kifursa, watafutaji shitukeni

Wasukuma wamewasili huko katavi, rukwa, mbeya na ruvuma wakapachangamsha ndipo mkaanzisha na uzi.

Miaka 50 ijayo katati watakuwa wasukuma kwa 100%, na mikoa mingine tutasambaa kama ukimwi.

Nb. Kila tukifika maeneo yenu tunawapelekea moto dada na wake zenu hadi wazae, tunajichanga tunajenga shule shikizi huko maporini, tunawalazimisha kuongea kisukuma na kuoa wake wengi.

Mbeya ina Wakinga hao Wasukuma wa kuchangamsha hawapo. Mada iko wazi, Nyanda za juu kuna fursa kuliko Kanda ya Ziwa
 
Usichokijua wewe wilaya ya Chunya wakazi wake wengi ni wasukuma kuliko kabila lolote labda pengine uwe hupajui chunya!

Mpanda wasukuma ni karibu nusu ya wakazi wote utakaowaona, Sumbawanga waganga wengi sio wafipa tena ni sisi wasukuma.
Wahaya hawaendi mikoa ya kusini wao wanapenda miji ya Luxury ikiwemo kubaki Rock city.

Wakurya wao wanaenda zaidi Kisumu
Chunya ni mchanganyiko wa makabila. Sidhani kama wasukuma wanawazidi makabila mengineyo Kwa uwingi ndani ya wilaya.
Otherwise tufanye sensa ya makabila.
 
Chunya ni mchanganyiko wa makabila. Sidhani kama wasukuma wanawazidi makabila mengineyo Kwa uwingi ndani ya wilaya.
Otherwise tufanye sensa ya makabila.
Mara yako ya mwisho kufika Chunya ilikuwa mwaka gani?
 
Chunya ni mchanganyiko wa makabila. Sidhani kama wasukuma wanawazidi makabila mengineyo Kwa uwingi ndani ya wilaya.
Otherwise tufanye sensa ya makabila.
Usijitekenye. Wasukuma Chunya ndio wengi. Huo ndio ukweli mchungu
 
Kiufupi umetoa maoni na sio hoja yenye mashiko
Napingana na wew Kwa facts zifuatazo
vyanzo vya kiuchumi.
madini -mikoa yote ya Kanda ya ziwa ina reserve kubwa ya almasi na dhahabu ni inazalisha 50 percent ya dhahabu zote nchini .(note mgodi wa nyanzaga utafunguliwa soon mwanza) .pia mradi mkubwa wa madini ya nickel kabanga ..
Hamna njia madini yataisha juu ya reserve kubwa iliyopo yaani Kila mkoa Kuna mgodi mkubwa tofauti na kusini ambako ni chunya tu ..
ZIWA - samaki hawatakuja waishe hata siku moja ,na mikakati iliyopo ni kuanzisha cage fishing. Hadi sasa Kanda ya ziwa ina export ulaya 95 percent ya samaki zote nchini kwenda ulaya ..mauzo ya dagaa ya interborders . tofauti na huko Nyasa
GEOGRAPHICAL POSITION- Kanda ya ziwa inapakana na nchi zote Africa mashariki Kwa hyo interborder trade yoyote lazima ipite Kanda ya ziwa .hii imekuwa ikivutia biashara na uwekezaji kutoka nchi za maziwa makuu .
KILIMO - mpunga,dengu,pamba,choroko,na kahawa Zina account kwenye major exports ya mazao ya kilimo kwenda nje ya nchi Kwa asilimia 50 ...kuanzishwa Kwa kiwanda kikubwa Cha Mchele Cha serikali ni uthibitisho kuwa Kanda ya ziwa ina mchango mkubwa kwenye suala la chakula nchini
UTALII - huku Kuna hifadhi 8 za taifa ,fukwe za ziwa ,mapori ya akiba ,na historical sites za kutosha...hii imefungua fursa kubwa ya utalii .kukamilika Kwa mwanza international airport na uwekezaji mkubwa wa hotel za nyota nne na Tano katika miji unazidi kuongezeka hivyo kuifanya lake zone izidi kuwa top ..lakin Hadi leo mbeya hamna hotel ya nyota 4 .
POPULATION ADVANTAGE- lake zone Ina takribani watu milioni 20 . production output ya Hawa watu Ina impact kubwa kwenye uchumi na ni kichocheo kikubwa Cha biashara
MIUNDOMBINU- ujenzi wa SGR ,meli kubwa za mizigo na abiria,Bomba la mafuta ,nk.kutafungua uchumi kwa kiasi kikubwa.
MWISHO .pitia hii ramani na ujumlishe hizo figure katika hyo mikoa ya kusini ulinganishe na mikoa ya ziwa

20220814_155922.jpg
 
Something to note ni kuwa katavi sio kusini .. katavi ipo group moja na tabora na kigoms
 
Unafuu unaweza kuwa ni kwa sababu ya purchasing power kuwa chini,
Huo unafuu wa maisha wanapima Kwa kuangalia nni
Chakula au ..hata vijijini Kuna chakula kingi lakin pesa hakuna
Unafuu wa maisha lazima upimwe kuangalia vifuatavyo
_unafuu wa kupata shughuli za kukuingizia kipato ..
-uwepo wa unafuu kupata huduma zote za msingi(chakula,mavazi,malazi)
- ni unafuu wa kupata huduma za jamii ( elimu,umeme,maji,afya,nk)
_unafuu wa kupata huduma za kifedha (benki, microfinance na ushirika).
Katika vigezo vyote kusini wameizidi Kanda ya ziwa chakula tu .vingine hamna kitu
 
Ndio hao wenyeji wanafanya uone kuwa kwenu kuna maendeleo wakati kwa hovyo kabisa.

Kanda ya ziwa ni sehemu nzuri sana kuishi binadamu kuliko nyanda za juu kusini kwa kuzingatia hali ya hewa hadi fwedha
Wewe unaongea kishabiki,huwezi linganisha ukame wa mwanza shinyanga ulinga ishe na mikoa inayo tegemewa na taifa kwa chakula
 
Wewe unaongea kishabiki,huwezi linganisha ukame wa mwanza shinyanga ulinga ishe na mikoa inayo tegemewa na taifa kwa chakula
Yaani nitoke Kanda ya Ziwa nikaishi Njombe au Mbeya ? Huko ni uswekeni tu
 
Upo sahihi mkuu nyanda za juu kusini ipo juu kwa sasa hasa kilimo pia madini na vyanzo vya maji Kama ziwa Tanganyika,nyasa na rukwa
 
Back
Top Bottom