Habarini za kwenu wanajamvi.. ni matumaini yangu mu wazima wa buheri kabisa.... Naitwa Mwl. Victor Nyanda ni mwl mtarajiwa wa shule ya secondary nyampulukano iliyoko sengerema mkoa wa mwanza... sa naitaji kuijua kiundani zaid kwa mwenye uelewa juu ya shule hhii anipe mwang bhasi.. asanteni.