Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Tatizo lako unacheka mpaka unasahau kugonga kale ka mai fevarabo batani!nimecheka mpaka bac, una balaa wewe....
Tatizo lako unacheka mpaka unasahau kugonga kale ka mai fevarabo batani!nimecheka mpaka bac, una balaa wewe....
sikulalia ubavu, jana nililalia mgongo
halafu ADA ni ''msiba'' mkubwa sana kwa wazazi wengi hapa dar!asilimia kubwa ya watoto wetu wanasoma ST ''SOMETHING''
No moa komenti, manake ukianza zile stori zako za mitarimbo utachafua hali ya hewa humu ndani! Hivi taito ya hii thread inasemaje? Ahaa?
Nyamayao kawachukue wanao kwa PJ TAFWAZALI!
Ni kweli, lakini jana ulipata Sakramenti? Naona leo umekuja kitakatifu sana! Umelalia mgongo! Thats Good!NA BORA UMEGUNDUA MAPEMA. lAKINI UKIULIZA SI SHURTI UJIBIWE?
Ni kweli, lakini jana ulipata Sakramenti? Naona leo umekuja kitakatifu sana! Umelalia mgongo! Thats Good!
Jamaani tuanzishe harambee: SAIDIA NYAMAYAO ACHUKUE WATOTO {SANYAWA
heeeee......lol
Kwa kusaidia mchango, kwa vile inaaminika wako kwangu, mi sitamdai kitu chochote Nyamayao kwa kuwatunza over a month!..Ninachotaka tu, wawahi shuleni Tanganyika International School!Ni kweli, lakini jana ulipata Sakramenti? Naona leo umekuja kitakatifu sana! Umelalia mgongo! Thats Good!
Jamaani tuanzishe harambee: SAIDIA NYAMAYAO ACHUKUE WATOTO {SANYAWA}
Hapa kichwa kinaniuma! Manake January kamilioni lazima ukapeleke kwa watakatifu! Umeona PJ kakugongea SENKSI? Naye yumo kwenye hii listi! Utawatambua kwa matendo!halafu ADA ni ''msiba'' mkubwa sana kwa wazazi wengi hapa dar!asilimia kubwa ya watoto wetu wanasoma ST ''SOMETHING''
Now I know! Ada! Kampeni ilitakiwa iwe Saidia Nyamayao Ada ya Watoto [SANYAWA]Kwa kusaidia mchango, kwa vile inaaminika wako kwangu, mi sitamdai kitu chochote Nyamayao kwa kuwatunza over a month!..Ninachotaka tu, wawahi shuleni Tanganyika International School!
mi napledge 12,500/=now i know! Ada! Kampeni ilitakiwa iwe saidia nyamayao ada ya watoto [sanyawa]
hehehe!G na wewe utafikia huku tulipo tu, utaona ishu zinavyokuwa tite linapofikia mambo ya skul kwa watoto, wifi inatakiwa awe mchakarikaji sana mana nyie ikifika wakati huu mkiambia kitu kidogo tu unackia " mie nawazia wanangu ada" ...hee hapo ni shughuli kwa mama kuhudumia home....
Kuwa serious kidogo, umeona hiyo shule ambayo nyamayao alijibaraguza akapeleka vijana wake? Naongeza sifuri mwishoni 125,000/= toka kwa Carmel........ Kampeni inaendelea!mi napledge 12,500/=
Wapi mkuu?
Embu weka sawa hapo.
Maana gharama za kuwaendesha hawa watoto wa Nyamayao zimenifikia maji-ya shingo!..lol!
hivi Nguli ina maana hujanimic hata kidunchu? sio ubinadamu huo, hata hujaniambia lolote hii new year?
mi napledge 12,500/=