NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Kwamba? Hahaha! Isije ikawa PJ anahusika nao au?
Wewe unaakili sana.
Kwamba? Hahaha! Isije ikawa PJ anahusika nao au?
Hahaha! PakaJimmy! Hehehe! Weweee! Haya bana! Nimekugongea kale ka fevareti batani kangu! Nyamayao labda bado anabangaizia ada!
wewe ni sms acc no yako nataka nimalizane na wewe kabla cjaingia kwenye majukumu ya kutafuta ugali.
dah, nimepta shock! kulikoni tena tobaa...nyamayao si alikuwa kwenye msiba wa MC Lema, sasa huko mwanza imekuwaje tena! lol
yugalaaai!...hahaha! ugali kwa kiingeredha unaitwaje?
Hahaha! PJ mjanja sasa. watoto kamwagiwa yeye, anasingizia kamwagiwa babu! Lea watoto PJ, Nyamayao msanii, ndio unalo hilo tena!
PJ mwanza nilienda tu kwa matembezi, lakini likizo yangu ilikuwa shy, watoto huko arusha niliwaacha tu kwa ndugu yangu coz walikuwa wana safari ya kwenda ngorongoro for xmac, babu/bibi hawapo arusha bwana...njoro! halafu umechanganya habari sana, dar mie napita tu cna makazi kwa sasa...watoto wanafungua skul next week.
Uko na mzee huko uliko?
jina lenyewe c unaona lilivyo la kisanii?...
unataka kuja?.....
Hahaha! PJ mjanja sasa. watoto kamwagiwa yeye, anasingizia kamwagiwa babu! Lea watoto PJ, Nyamayao msanii, ndio unalo hilo tena!
hehehe!Sii mimiiiii! Ila MIMI!
Sii mimiiiii! Ila Kaizer!
Wewe unaakili sana.
sikulalia ubavu, jana nililalia mgongohehehehe!
yugalai....
eeh!.....sikulalia ubavu, jana nililalia mgongo
Manake namwona maeneo ya kwa ankali anazengea kudumisha mila na matron!sasa unamuombea mr wangu ruhusa ya kuja kwa mkewe? unatafuta kec tu.
Hahaha! Nyamayao is bize looking fo yugalai, PJ iz bize tunzaring nyamayao'z kids! LOL!