Nyama mbovu Platinum Annex Dodoma

Nyama mbovu Platinum Annex Dodoma

Nipo Dodoma muda sasa kufuatilia masuala ya kiserikali.

Siku hizi wajua tena Dodoma ni makao makuu..
Jioni jana niakaamua kupata moja baridi na mbuzi choma Platinum Annex panaposifika.

Kula kipande cha kwanza tu, harufu ya uvundo.
Nikamwita mpishi hadi manager Shomari nikaona wanashangaa shangaa.

Nikahisi ni mchezo wanafanya siku zote maana no apology na wote wakakimbia pale.

Wakazi Dodoma kuweni macho.
Pole sana mteja wetu tunaomba samahani kwa usumbufu uliopata, hata hivyo tumegundua kuwa Hosea japokuwa amesoma degree ya catering lkn bado ni mpumbavu Sana hivyo Leo tumemtumbua. Karibu tena ndugu mteja na utafidiwa nyama yako ya Jana.
 
Hii platinum annex ipo wapi mbona nimesahau jamani, ndo ya kule area C? 😂 😂
 
We mteja wangu hadi umeyaleta huku wakti tuliyamaliza kiume,kumbuka uliondoka bila kulipia na offer ya bia ukapewa na makubaliano ilikuwa usije kusema,sasa vp tena.
Du kulipia nyama iliyooza?
Na bia ulinipa au siyo?
Imeharishwa yote, ndo imeharibu ukimya wangu, ukitoa nyama mbofu uwe na vidonge vya flygyl karibu.
 
Pole sana mteja wetu tunaomba samahani kwa usumbufu uliopata, hata hivyo tumegundua kuwa Hosea japokuwa amesoma degree ya catering lkn bado ni mpumbavu Sana hivyo Leo tumemtumbua. Karibu tena ndugu mteja na utafidiwa nyama yako ya Jana.
Naona sasa na mpango wa kuniletea nyama ya paka aliyegongwa na gari hapo Area C.
 
Aiseee nipe code,siwaonagi madada poa hapo au ugeni? Vipi kule park
Mkuu hapo platinum sio panasifika sema ni chimbo la madada poa sana.....lakini kwa swala la nyama unashangaa, hapo hata beer unaweza kupewa imeharibika kabisa....kuwa makini napo sana.
 
Nipo Dodoma muda sasa kufuatilia masuala ya kiserikali.

Siku hizi wajua tena Dodoma ni makao makuu..
Jioni jana niakaamua kupata moja baridi na mbuzi choma Platinum Annex panaposifika.

Kula kipande cha kwanza tu, harufu ya uvundo.
Nikamwita mpishi hadi manager Shomari nikaona wanashangaa shangaa.

Nikahisi ni mchezo wanafanya siku zote maana no apology na wote wakakimbia pale.

Wakazi Dodoma kuweni macho.
Nilichokiona cha maana hapa ni "kufuatilia masuala ya kiserikali", otherwise mambo ya nyama 'mbofu mbofu' tunakutana nayo sana tu, na kuyapotezea maana tungeamua kumwaga yote tunayokutana nayo, JF ingejaa.
 
Nipo Dodoma muda sasa kufuatilia masuala ya kiserikali.

Siku hizi wajua tena Dodoma ni makao makuu..
Jioni jana niakaamua kupata moja baridi na mbuzi choma Platinum Annex panaposifika.

Kula kipande cha kwanza tu, harufu ya uvundo.
Nikamwita mpishi hadi manager Shomari nikaona wanashangaa shangaa.

Nikahisi ni mchezo wanafanya siku zote maana no apology na wote wakakimbia pale.

Wakazi Dodoma kuweni macho.
Siku nyingine usirudie kwenda pale mkuu.

Unaacha kwenda Dodoma Carnival unaenda pale kwa wahuni?
 
Kabisa
Nilichokiona cha maana hapa ni "kufuatilia masuala ya kiserikali", otherwise mambo ya nyama 'mbofu mbofu' tunakutana nayo sana tu, na kuyapotezea maana tungeamua kumwaga yote tunayokutana nayo, JF ingejaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom