Nyama mbovu Platinum Annex Dodoma

Nyama mbovu Platinum Annex Dodoma

halafu nili experience kitu ukiwa bar wauza senene wanapita kuuza ni bia na senene mwanzo mwisho
 
Write your reply...
sie uku dom tunajuana wenyewe wew uliingizwa chaka!
 
Diamond kumbe anavitega Uchumi Hadi Dodoma?
Hongera Diamond Platinum
Nipo Dodoma muda sasa kufuatilia masuala ya kisetikali.
Siku hizi wajua tena Dodoma ni makao makuu..
Jioni jana niakaamua kupata moja baridi na mbuzi choma Platinum Annex panaposifika.
Kula kipande cha kwanza tu, harufu ya uvundo.
Nikamwita mpishi hadi manager Shomari nikaona wanashangaa shangaa.
Nikahisi ni mchezo wanafanya siku zote maana no apology na wote wakakimbia pale.

Wakazi Dodoma kuweni macho.
Mods jalini afya msiufute uzi huu, si jungu limenitokea.
 
Ukitaka kula nyama nzuri, njoo Bukoba sehemu inaitwa Sky Motel au Liquid the Lounge
YAANI NI UPUUZI MTUPU,HAKUNA NYAMA NZURI SKY MOTEL AU LIQUID!!!!SANA SANA MALAYA WACHAFU NA NSHOMILE WASIOJUA PIKA!!!INGAWA SKY KWA BUKOBA NI AFADHALI KULIKO SEHEMU YEYOTE YA BUKUBA!!!NYAMA NZURI DOM,ARUSHA,SINGIDA.
 
YAANI NI UPUUZI MTUPU,HAKUNA NYAMA NZURI SKY MOTEL AU LIQUID!!!!SANA SANA MALAYA WACHAFU NA NSHOMILE WASIOJUA PIKA!!!INGAWA SKY KWA BUKOBA NI AFADHALI KULIKO SEHEMU YEYOTE YA BUKUBA!!!NYAMA NZURI DOM,ARUSHA,SINGIDA.
Hili povu ninaweza fulia pajama zangu zoote
 
Nipo Dodoma muda sasa kufuatilia masuala ya kisetikali.
Siku hizi wajua tena Dodoma ni makao makuu..
Jioni jana niakaamua kupata moja baridi na mbuzi choma Platinum Annex panaposifika.
Kula kipande cha kwanza tu, harufu ya uvundo.
Nikamwita mpishi hadi manager Shomari nikaona wanashangaa shangaa.
Nikahisi ni mchezo wanafanya siku zote maana no apology na wote wakakimbia pale.

Wakazi Dodoma kuweni macho.
Mods jalini afya msiufute uzi huu, si jungu limenitokea.
Umelia huo uvundo au wamekusamehe?..
 
Mkuu hapo platinum sio panasifika sema ni chimbo la madada poa sana.....lakini kwa swala la nyama unashangaa, hapo hata beer unaweza kupewa imeharibika kabisa....kuwa makini napo sana.
 
Nipo Dodoma muda sasa kufuatilia masuala ya kiserikali.

Siku hizi wajua tena Dodoma ni makao makuu..
Jioni jana niakaamua kupata moja baridi na mbuzi choma Platinum Annex panaposifika.

Kula kipande cha kwanza tu, harufu ya uvundo.
Nikamwita mpishi hadi manager Shomari nikaona wanashangaa shangaa.

Nikahisi ni mchezo wanafanya siku zote maana no apology na wote wakakimbia pale.

Wakazi Dodoma kuweni macho.
Mtanzania na biashara bado kabisa. Ni ''ujanja ujanja'' wa kuchomeka tu. Halfu kesho yake anaenda kwa mganga kuulizia kwa nini biashara imegoma!
 
We mteja wangu hadi umeyaleta huku wakti tuliyamaliza kiume,kumbuka uliondoka bila kulipia na offer ya bia ukapewa na makubaliano ilikuwa usije kusema,sasa vp tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom