SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Mzee Kinana yuko wapi? Secretariat sasa inaongozwa na watu wasiojua hata taratibu za Chama. Baada ya Nyarandu kujiuzuti wanakurupuka ili ionekane hakukuwa na tatizo
Tetesi ni kwamba alisha-resign tangu October 10, 2017 yaani siku 20 kabla Nyalandu aondoke.