Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,012
- 3,683
Salamu za jumapili kwa kila atakayesoma.
Nimeona nimpongeze Nyalandu kwa moyo wa dhati sana katika msaada kwa watoto walionusurika katika ajali ya LUCKY VICENT.
Mtaani watu wanaongea kama Nyalandu anatafuta sifa au mtaji wa kisiasa kwa jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kusaidia matibabu kwa watoto walionusurika.
Mimi namtazama kama mtu mwenye huruma sana,mzazi mwenye uchungu,kiongozi asiye mbinafsi.Tukio halikutokea jimboni kwake lakini hakujali hilo,hapo anatafutaje kiki ya kisiasa?
Wapo wenye uwezo wa kuleta tofauti katika jamii kwa ushawishi wao tu(influence)lakini pasipo na jambo linalowaunganisha moja kwa moja huwa hawajitoi kufanya lolote,naamini NYALANDU angekuwa mbinafsi basi angekaa kimya tu,uwezo wa kula Jodari anao lakini hakuacha kufanya analoweza.
Hakufanya kwa maslahi ya kifedha,zaidi naamini atakuwa katika eneo fulani ametumia fedha zake,lakini wapo walionufaika na tukio lile.
Tuwatie moyo wenye moyo wa kujitolea,haki yake kumsifu kwa hili.
Naomba tumsifu pamoja,si lazima tuwaze sawa,munaweza pia kuwaza muonavyo.
Habeeb Marhan
Nimeona nimpongeze Nyalandu kwa moyo wa dhati sana katika msaada kwa watoto walionusurika katika ajali ya LUCKY VICENT.
Mtaani watu wanaongea kama Nyalandu anatafuta sifa au mtaji wa kisiasa kwa jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kusaidia matibabu kwa watoto walionusurika.
Mimi namtazama kama mtu mwenye huruma sana,mzazi mwenye uchungu,kiongozi asiye mbinafsi.Tukio halikutokea jimboni kwake lakini hakujali hilo,hapo anatafutaje kiki ya kisiasa?
Wapo wenye uwezo wa kuleta tofauti katika jamii kwa ushawishi wao tu(influence)lakini pasipo na jambo linalowaunganisha moja kwa moja huwa hawajitoi kufanya lolote,naamini NYALANDU angekuwa mbinafsi basi angekaa kimya tu,uwezo wa kula Jodari anao lakini hakuacha kufanya analoweza.
Hakufanya kwa maslahi ya kifedha,zaidi naamini atakuwa katika eneo fulani ametumia fedha zake,lakini wapo walionufaika na tukio lile.
Tuwatie moyo wenye moyo wa kujitolea,haki yake kumsifu kwa hili.
Naomba tumsifu pamoja,si lazima tuwaze sawa,munaweza pia kuwaza muonavyo.
Habeeb Marhan