Mkuu ni bora kuwa mtu wa haki hapa duniani kuliko dhambi ya unafki.Awe makini tusije jikuta tunaanza kuombea watu wawili
..hawa wasiojulikana ni hatarri sana
Humu jf wangeweka kitufe cha dislike ningebofya hichoKama ni kumuombea si amuombee tu,anatueleza ili iweje? Hapo hakuna utashi maana maombi yamegeuzwa matangazo ya biashara na watu kutafutia kiki za kisiasa
Me too!Naona kaamua kuonyesha kua yeye Ni mwanaume mwenye kende mbili, hayumbishwi na misimamo ya "wacharwa".. Safi Sana!
Nimependa kitambaa cha hiyo suti.
Hii ni kawaida sana huko makanisani,, mtu uliyepata Kuwa waziri hawawezi kukaa kimya bila kukupa nafasi ya kusema machache kwa nini umejumuika nao siku hiyo!Kama ni kumuombea si amuombee tu,anatueleza ili iweje? Hapo hakuna utashi maana maombi yamegeuzwa matangazo ya biashara na watu kutafutia kiki za kisiasa
Naona kaamua kuonyesha kua yeye Ni mwanaume mwenye kende mbili, hayumbishwi na misimamo ya "wacharwa".. Safi Sana!
Nimependa kitambaa cha hiyo suti.
Alichofanya Nyalandu ni kitu cha kawaida sana. Kinafanya na watu wengi kwa hiyo msimvimbishe kichwa.Mapema leo nimetembelea Kanisa la Ilemi mjini Mbeya na kusalimia waumini. Asanteni kwa maombi yenu! Nawapenda sana na nimefurahi sana kwa kumuombea Tundu Lissu tuendele Kumuombea kwa Mungu amponye Haraka mimi binafsi sitaacha kumuombea na kuongoza ibada za kumuombea.
View attachment 594724
Mkuu huna aibu hata chembe kumuita nyalandu dhalimu????na waliotufikisha katika Lindi hili LA umasikini ccm unawaitaje?tafakari Mtoto kafaulu darasa LA 7 kafika kidato cha 2 hajui kusoma wala kuandika unamuitaje aliyasababisha hilo?
BAK Mwanahabari Huru Ritz FaizaFoxy mshana jr Return Of Undertaker
Una nini babuwewe dawa yako unachemka
Alichofanya Nyalandu ni kitu cha kawaida sana. Kinafanya na watu wengi kwa hiyo msimvimbishe kichwa.
Ndugai na umyNi Nani mwingine kutoka CCM aliyethubutu kufanya hivi?