Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,933
- 218,740
unaweza kuweka hapa najina yao ?Nyalandu analeta Ngonjera hizo.., Wapo waliotoa maoni kama hayo huko nyuma waliishia kukiona cha 'MTEMA KUNI'
unaweza kuweka hapa najina yao ?Nyalandu analeta Ngonjera hizo.., Wapo waliotoa maoni kama hayo huko nyuma waliishia kukiona cha 'MTEMA KUNI'
Afadhali CDM, kwenu mnachaguliwa, wabunge ni JPM tu anachagua!Huna haya kuropoka hivyo!
Mwita, wangwe, Zito,Slaa. Vipi unataka niendelee?unaweza kuweka hapa najina yao ?
Eti inasemekana kuna Zuberi Wa kigoma na Chacha. Kwa mbaaali nlisikia hata Dr mihogo aliambiwa kama anataka chama kifate taratibu na mipango ya mwenyekiti Wa milele ya kupiga pesa iharibike basi ni heri atafute pa kutokeaunaweza kuweka hapa najina yao ?
Kada wa CHADEMA, Lazaro Nyalandu
Kwa nini usiseme anajinyeanyea yeye?
Utakuwa ni upumbavu gani wamekupa penati umekosa lakini unang'ang'ania kupiga faulo kwenye 18 huku ukitaka kuwaaminisha watu kuwa una uwezo wa kufunga, kweli?
Sasa mtu alipoteza wakati akisaidiwa na wakubwa zake, atawezaje sasa hivi wakati wakubwa wake hawana meno ya kutosha?
sioni andiko hili maudhui kinachofanana na kichwa cha habari!Katiba ya nchi na ya chama chake inampa uhuru wa kutoa maoni na uzuri maoni yenyewe ni ya kujenga
Kwa sifa gani alizonazo Tundu Lisu!! Au kushambuliwa/kujeruhiwa kwa risasi ni sifa ya mtu kuiongoza nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
hao walikuwa wanagombea nini ?Tundu Lisu, B.Saanane.
Hicho unachokifanya wewe ndicho watu wanachotaka kiwe Cha kidemokrasia zaidi,yaani wawepo wagombea wa kushindanishwa na kura za wazi ili aliyeshinda ndiye apeperushe bendera ya chama ,kwa kufanya hivyo chama Cha demokrasia kitakuwa kimefanya demokrasia kunakishi demokrasia ya jina letu la chama Cha demokrasia.Ili huyu kichaa tuliyenaye aondoke ifikapo 2020, tunalazimika kumbebesha Tundu Lissu bendera ya CHADEMA, na SI mwingine. Kwa TL, kichaa lazima asepe.
HAYO NI MAWAZO YAKO,KWANINI UNAMSEMEA MTU MWENGINE WAKATI HUJI YEYE ALIKUWA ANAMAANISHA NINIKwa nini usiseme tu ukweli kuwa, amegundua mfumo wao ni mbovu na hana uhakika wa yeye kupita ama anayempenda kupita kwenye mchujo wa Chama kutokana na kutokuwepo kwa mfumo unaoeleweka?
HAYO NI MAWAZO YAKO,KWANINI UNAMSEMEA MTU MWENGINE WAKATI HUJI YEYE ALIKUWA ANAMAANISHA NINIKwa nini usiseme tu ukweli kuwa, amegundua mfumo wao ni mbovu na hana uhakika wa yeye kupita ama anayempenda kupita kwenye mchujo wa Chama kutokana na kutokuwepo kwa mfumo unaoeleweka?
HAYO NI MAWAZO YAKO,KWANINI UNAMSEMEA MTU MWENGINE WAKATI HUJI YEYE ALIKUWA ANAMAANISHA NINIKwa nini usiseme tu ukweli kuwa, amegundua mfumo wao ni mbovu na hana uhakika wa yeye kupita ama anayempenda kupita kwenye mchujo wa Chama kutokana na kutokuwepo kwa mfumo unaoeleweka?