Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
[h=6]"Driving to Ifakara from Singida North this afternoon where I hosted an Irish Volunteer team to inaugurate 2 completed water projects at Malolo and Sokoine villages. Each project included a deep borehole, a water tank, sub water pump and a solar panel, at a US40,000 each. Thanks for all those who gave to the thirst souls"
(facebook page)
Haya mh heshimiwa azidi kuchanja mawingu kuelekea kuzuri, nyie mnao mbeza sio raia kijijini kwenu mmesaidia hata kupeleka panadol katika dispensary ya kijiji????
oh oh hebu...... anatoa takrima serikali makini ingetakiwa itumie fedha zake katika kutekeleza huduma za jamii sio kupitisha bakuli kwa wazungu, nyalandu hata akigombea urais hana jipya hatakuwa tofauti na mbaomba wa kimataifa "Jk", ooh ooh wakwere na wasingida hawana tofauti.......TOKENI HUKO BANA,
My take;
Tutegemee mengi zaidi miaka hii minne iliyobakia.................hakika ukistaajabu ya Musa............................utayaona ya ferauni.........ukiona mchwa anapanda kwenye jembe ...................ujue anaufuata mpini, asikiae na afahamu.
nawasilisha
[/h]
(facebook page)
Haya mh heshimiwa azidi kuchanja mawingu kuelekea kuzuri, nyie mnao mbeza sio raia kijijini kwenu mmesaidia hata kupeleka panadol katika dispensary ya kijiji????
oh oh hebu...... anatoa takrima serikali makini ingetakiwa itumie fedha zake katika kutekeleza huduma za jamii sio kupitisha bakuli kwa wazungu, nyalandu hata akigombea urais hana jipya hatakuwa tofauti na mbaomba wa kimataifa "Jk", ooh ooh wakwere na wasingida hawana tofauti.......TOKENI HUKO BANA,
My take;
Tutegemee mengi zaidi miaka hii minne iliyobakia.................hakika ukistaajabu ya Musa............................utayaona ya ferauni.........ukiona mchwa anapanda kwenye jembe ...................ujue anaufuata mpini, asikiae na afahamu.
nawasilisha
[/h]