Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

Ngoja makamanda wamtapeli akishaishiwa atatulia
Uoga ulishakujaa kifuani hadi unakimbilia kutapeliwa as if hilo hajalipa nafasi kama likotokea!
Nyalandu, usiende misibani tu Bali nenda hats kwenye kitchen parties na harusi Kama zipo ili ulirejeshe jimbo mikononi mwako! Wameshapagawa hawa viroboto kwa kukuzushia unagawa kadi ilihali picha walizoweka hazionyeshi wanalolalamikia! Finya viroboto wote huko!
 
Sioni tatizo labda ungesema kama msibani alikuja kugawa kadi tu si alishiriki shughuli nyingine za msiba
 
Sasa hapo mbona hatumuoni mh Nyarandu akigawa kadi?
Punguza huo ujivuni wewe
Inaonekana sasa Lazaro Nyarandu amelikamia jimbo lake la zamani la Singida kaskazini kwakuwa amepiga kambi jimboni wiki tatu sasa anaenda nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji na kufanya vikao vya kushtukiza katika maeneo tofauti, wanagawa kadi za Chadema na kuandika majina na namba za simu za kila wanayempa kadi .

Sasahivi anatumia mtindo mpya wa kuhudhuria misiba na huko ndiyo anagawa kadi nyingi kwa wananchi. Je huu utaratibu wa kugawa kadi za chama misibani unaruhusiwa ? Au siasa ni popote .

Naambatanisha ushahidi wa picha Nyarandu akigawa kadi msibani huko mangida singida kaskazini .

NawasilishaView attachment 1117637View attachment 1117638
 
Mjadala ingekuwa ni Makonda na Tulia kugawa fedha hovyo kama vile wanaziokota
Picha ipi anagawa kadi?
Hivi hata angekuwa anagawa kadi, kati ya hela anazogawa Makonda na hizo kadi ni nini hasa kingefuzu kuwa mjadala?
 
2020 kila mmoja atapambana kivyake hata huyo jiwe hatoweza kujigawa kila Jimbo maana hata yeye atakuwa hajui hatima ya uraisi wake.

Mbeleko Lina mwisho wake hasa Kwa nafasi za ubunge na madiwani hawa polisi waliopo hawatoshi Tanzania nzima
Umesema kweli kabisa labda kama inaruhusiwa kuazima kutoka kwa marafiki zetu wa damu
 
Nyarandu ni bonge la kiongozi asiye na roho mbaya kama wale
mimi sioni tatizo kabisaa,piga kazi mh Nyalandu,mmoja wa mawaziri wazuri sana kiutendaji kuwahi kutokea japo alihudumu mwaka mmmoja tu
 
Hahaha nani kafa tena huko?! Steve Nyerere anazo taarifa?! Kama hana ni fake news.
 
Inaonekana sasa Lazaro Nyarandu amelikamia jimbo lake la zamani la Singida kaskazini kwakuwa amepiga kambi jimboni wiki tatu sasa anaenda nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji na kufanya vikao vya kushtukiza katika maeneo tofauti, wanagawa kadi za Chadema na kuandika majina na namba za simu za kila wanayempa kadi .

Sasahivi anatumia mtindo mpya wa kuhudhuria misiba na huko ndiyo anagawa kadi nyingi kwa wananchi. Je huu utaratibu wa kugawa kadi za chama misibani unaruhusiwa ? Au siasa ni popote .

Naambatanisha ushahidi wa picha Nyarandu akigawa kadi msibani huko mangida singida kaskazini .

NawasilishaView attachment 1117637View attachment 1117638
Kama kuna kiongozi au 'planner' aliyekosea ni huyu aloyeanziasha sare za vyama. Hili la kila chama cha siasa kuwa na sare zake ni tatizo kubwa sana kwa umoja wetu wa kitaifa. TUONDOE HIZI SARE NA VIBENDERA BENDERA VYA CHAMA TUBAKIE NA BENDERA YA TAIFA TU. Watu tujitambulishe kwa sera na hoja za kulijenga taifa siyo kujenga vyama na kujitambulisha kwa kuvaa sare za vyama.
 
Habari na Picha haviendani, lakini ni jambo jema kuwafariji wafiwa.
 
Nyalandu amedhamiria kuiteketeza ccm Singida
FB_IMG_1559665643010.jpg
FB_IMG_1559665635996.jpg
FB_IMG_1559665625313.jpg
 
Inaonekana sasa Lazaro Nyarandu amelikamia jimbo lake la zamani la Singida kaskazini kwakuwa amepiga kambi jimboni wiki tatu sasa anaenda nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji na kufanya vikao vya kushtukiza katika maeneo tofauti, wanagawa kadi za Chadema na kuandika majina na namba za simu za kila wanayempa kadi .

Sasahivi anatumia mtindo mpya wa kuhudhuria misiba na huko ndiyo anagawa kadi nyingi kwa wananchi. Je huu utaratibu wa kugawa kadi za chama misibani unaruhusiwa ? Au siasa ni popote .

Naambatanisha ushahidi wa picha Nyarandu akigawa kadi msibani huko mangida singida kaskazini .

NawasilishaView attachment 1117637View attachment 1117638
safi sana kamanda nyarandu
 
Uzushi mtupu!
Usiseme uzushi, ni kweli anagawa kadi, tunajuaje kama hao wananchi wameomba awaletee kadi, na kutafuta wanachama ni haki ya kila chama, iwe Arusini, msibani, uwanjani kwenye soka, night club au popote.

Mbona hata sisi CCM tunazitoa kula upande kama njugu.

Tuwaache chadema wajitutumue, hiyo ni haki yao.
 
Back
Top Bottom