Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

Koli koli tu ndio kilichobaki hata hivyo inapendeza sana tofauti na Yale manguo yenye rangi ya majani ya upupu.
 
hivi akitokea mwingine anagawa kadi harusini si atagawa tuu kwani kugawa kadi au kujiunga na chama flani kunamuda maalumu? tena anagawa mi nilifikiri ananunua watu.. Eboo msilete siasa za maji takataka.........kwani huko vyuoni watu si wanachukua kadi za chama fulani nyingi tuu mbona hamsemi na hao muwapige picha hii nchi sijui ina vichaa sampuli gani.....
 
Inaonekana sasa Lazaro Nyarandu amelikamia jimbo lake la zamani la Singida kaskazini kwakuwa amepiga kambi jimboni wiki tatu sasa anaenda nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji na kufanya vikao vya kushtukiza katika maeneo tofauti, wanagawa kadi za Chadema na kuandika majina na namba za simu za kila wanayempa kadi .

Sasahivi anatumia mtindo mpya wa kuhudhuria misiba na huko ndiyo anagawa kadi nyingi kwa wananchi. Je huu utaratibu wa kugawa kadi za chama misibani unaruhusiwa ? Au siasa ni popote .

Naambatanisha ushahidi wa picha Nyarandu akigawa kadi msibani huko mangida singida kaskazini .

NawasilishaView attachment 1117637View attachment 1117638
Kwani shida iko wapi? Ulitaka agawe kondom??? Kwani kavunja sheria??
 
Inaonekana sasa Lazaro Nyarandu amelikamia jimbo lake la zamani la Singida kaskazini kwakuwa amepiga kambi jimboni wiki tatu sasa anaenda nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji na kufanya vikao vya kushtukiza katika maeneo tofauti, wanagawa kadi za Chadema na kuandika majina na namba za simu za kila wanayempa kadi .

Sasahivi anatumia mtindo mpya wa kuhudhuria misiba na huko ndiyo anagawa kadi nyingi kwa wananchi. Je huu utaratibu wa kugawa kadi za chama misibani unaruhusiwa ? Au siasa ni popote .

Naambatanisha ushahidi wa picha Nyarandu akigawa kadi msibani huko mangida singida kaskazini .

NawasilishaView attachment 1117637View attachment 1117638
mnafiki mkubwa wewe,liangalie kwanza,KUNA KADI ILIYOGAWIWA HAPO,WANYATURU WATAMPA NYALANDU UBUNGE
 
2020 kila mmoja atapambana kivyake hata huyo jiwe hatoweza kujigawa kila Jimbo maana hata yeye atakuwa hajui hatima ya uraisi wake.

Mbeleko Lina mwisho wake hasa Kwa nafasi za ubunge na madiwani hawa polisi waliopo hawatoshi Tanzania nzima
Uchaguzi halisi na udhibiti wa vitendo vya kihuni utaanza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Hata kundi lile la Msiba mkuu hawataweza kuteka watu nchi nzima bila wao kuliwa.
 
Back
Top Bottom