Marekani wanaposaidia dunia unadhani kwao wamemaliza matatizo yote?
At least wana quality education na hata accessibility ya public need iko vizuri.
Marekani wanaposaidia dunia unadhani kwao wamemaliza matatizo yote?
When was the last time you heard of a terror attack in Mandera?..Naona Unawapangia cha kufanya wakati hapa wameelezea troubles ambazo tayar wameleta..
"Habari zinasema, kundi Al-Shabaab la Somalia limefanya mashambulizi mfululizo katika Kaunti ya Mandera, nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu na uharibifu mkubwa. Athari za Al-Shabaab zimeenea katika Kaunti ya Mandera na maeneo ya karibu ya Banisa, Lamu, na Takaba, hivyo kuleta wasiwasi mkubwa na pia kusababisha maswali kuhusu maandalizi ya kupambana na ugaidi."
Kitu ambacho sielewi habar kama hizi hamtangaziwi kwenye media zenu ama vipi maana habar kama hii nilitegemea iwe mnaifaham coz si jambo dogo hili
Kuna mamilioni ya wamarekani wanalala barabarani, wengi hawana ajira, malazi na health Insurance.At least wana quality education na hata accessibility ya public need iko vizuri.
Kuna mamilioni ya wamarekani wanalala barabarani, wengi hawana ajira, malazi na health Insurance.
Kusaidiana kidiplomasia haimaanishi kwamba masuala ya ndani hayafuatiliwi.Umefika marekani? Huku kwetu kila mtu ana ajira na malazi bora? Na hiyo health insurance watz wangapi wanayo? Ni asilimia ngapi ya watz wana afford milo 3 kwa siku?
Hebu tuhangaike kwanza na ya kwetu.Ndio maana kuna kitu kinaitwa foreign affairs kijana.
Wacha kudandia gari kwa mbele, umeelewa "mukhtadha" ya post yangu au umeisoma tu na kujibu?, Mara nyingi kunakua na mtiririko wa majibizano, usipokua umetiririka nao na kusoma post Moja pekee lazima utaelewa tofautiUmefika marekani? Huku kwetu kila mtu ana ajira na malazi bora? Na hiyo health insurance watz wangapi wanayo? Ni asilimia ngapi ya watz wana afford milo 3 kwa siku?
Hebu tuhangaike kwanza na ya kwetu