Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Badala ya kuwapa link hiyo tu ulitakiwa uanze na
Kwenye hiyo web ndege hii inauzwa $1
![]()
kaka maguruneti serikali itakusumbua utahama ww utahamia gerezani dawa ya jirani mkorofi ni hii
NUNUA PILIPLI KICHAA KAMA KILO MOJA IKAUSHE KABISA,CHUKUA KOPO YALE YA RANGI AU JINGINE LOLOTE WEKA
MKAA ULIOWASHWA ONGEZA UKAA KOPO LIFIKIE NUSU USIKOLEZE NENDE KARIBU KABISA NA NYUMBA YA JIRANI MKOROFI NA KOPO LA MKAA UKIFIKA IWEKE ILE PILIPILI KWENYE KOPO LILILO NA MKAA UNAOWEKA RUDI KWAKO HARAKA FUNGA MADIRISHA YAKO VIZURI NA MILANGO NDANI YA DAKIKA TATU UTASIKIA JIRANI AKIOMBA MSAADA WW KIMYA HUO MOSHI
NI MKUBWA AKIUVUTA NICHAFYA ZISIZO ISHA MACHO YANAKUA MEKUNDU NA KUTOA MACHOZI PUA NDO USISEME ZINATOA KAMASI TUU ZINAWASHA BALAA MTAA MZIMA HAUKALIKI HATARUDIA TENA KUKUSUMBUA ATAKOMA KABISA
Kwenye hiyo web ndege hii inauzwa $1
![]()
kaka maguruneti serikali itakusumbua utahama ww utahamia gerezani dawa ya jirani mkorofi ni hii
NUNUA PILIPLI KICHAA KAMA KILO MOJA IKAUSHE KABISA,CHUKUA KOPO YALE YA RANGI AU JINGINE LOLOTE WEKA
MKAA ULIOWASHWA ONGEZA UKAA KOPO LIFIKIE NUSU USIKOLEZE NENDE KARIBU KABISA NA NYUMBA YA JIRANI MKOROFI NA KOPO LA MKAA UKIFIKA IWEKE ILE PILIPILI KWENYE KOPO LILILO NA MKAA UNAOWEKA RUDI KWAKO HARAKA FUNGA MADIRISHA YAKO VIZURI NA MILANGO NDANI YA DAKIKA TATU UTASIKIA JIRANI AKIOMBA MSAADA WW KIMYA HUO MOSHI
NI MKUBWA AKIUVUTA NICHAFYA ZISIZO ISHA MACHO YANAKUA MEKUNDU NA KUTOA MACHOZI PUA NDO USISEME ZINATOA KAMASI TUU ZINAWASHA BALAA MTAA MZIMA HAUKALIKI HATARUDIA TENA KUKUSUMBUA ATAKOMA KABISA
Mkuu usihangaike na kumtafutia dege la kijeshi njoo nikupe maguruneti ya kurusha kwa mkono yanatosha kumshikisha adabu
Ipo ila used haina ngazi na mabawa.Nataka bombardier ipo charter ATCL
Hii ukinunua moja tunakuongezea na ka helikopita ka kubeba spare TSh. 10.000000000000000000000000000000Mimi nataka airbus A320
Ni bei gani?