Nunua lucky cement in a cheap price!!!!

Nunua lucky cement in a cheap price!!!!

Zasasule

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2009
Posts
1,001
Reaction score
103
Helooo
mambo vipizz?? kwa wale watakao hitaji cement jumla na reja reja inapatikana

Aina ya cement ni lucky cement, Cement ni ya uhakika na inatoka nje!! Nadhani kwa wanayo ifahamu washanielewa

Kwa jumla inapatikana kwa 14000 na reja reja inapatikana kwa sh 14500

WOTE MNAKARIBISHWA!!
MAHALI :MAGOMENI MORROCO HOTEL

NOTE!!

USAFIRI UTATOLEWA BURE KWA WALE WATAKAOCHUKUA CEMENT KWA JUMLA

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NO

0779 31 11 11


WOTE MNAKARIBISHWA
 
vipi hii huduma ipo mikoani au ni dar peke yake na inarate vipi ukilinganisha na simba na twiga, ni nzuri zaidi au zipo sawa

Thanks
 
Mkuu hiyo Cement unayo stock au ni kama hawa akina Zakaria na mohamedi enterprises ambao unalipia unasubir wiki 4 mzigo bado hujaletewa?na ili uweze kuletewa hadi kwenye eneo lako la biashara unatakiwa ununue kuanzia mifuko mingapi?isije ikawa ni contena zima kama wanavyotubana hawa wafanyibiashara wenye asili ya kiasia.
 
Hawa wauza cement wa Lucky cement hawalipi kodi kabisaaaaaaa! Wanatumia excemptions za TIC kukwepa kodi.
 
Hawa wauza cement wa Lucky cement hawalipi kodi kabisaaaaaaa! Wanatumia excemptions za TIC kukwepa kodi.
Sasa excemptions kama zipo kwanini wasitumie.., mimi naona ni makosa ya serikali yetu lege lege hata kama ni wewe kama kuna loop holes lazima uta-take advantage; mimi my concern kwa sasa naona hata majibu hawatoi (sijui mleta mada kaenda kulala au weekend ya jana alikula profit yote)
 
Nunua cement ya Tanzania kwa sh 14,500 kwa dsm.

Hizo za wapakstani hazifai kupigia tofali
 
Lucky Cement! Ilitumika kujengea Kilwa rd na Kajima - matokeo kila mtu apitaye barabara hiyo anayaona
 
Lucky Cement! Ilitumika kujengea Kilwa rd na Kajima - matokeo kila mtu apitaye barabara hiyo anayaona

Wa mkoa watadhani barabara nzuri.
Kuna suala la ujenzi pia kwa hiyo sidhan kama ni cement imechangia
OTIS
 
jamani iyo cement ina nembo ya TBS?mngetuletea mikoani,wengine tunanunua sh.19000 mfuko m1
 
:doh: Naona hapa maswali ni mengi kuliko majibu (na mleta mada ameingia mitini)

Je cement hii ni nzuri?
Je mpo mikoani ?
Je kama ni mbaya kwa tofali ni nzuri kwa mambo mengine kama floor na zege ?
 
:doh: Naona hapa maswali ni mengi kuliko majibu (na mleta mada ameingia mitini)

Je cement hii ni nzuri?
Je mpo mikoani ?
Je kama ni mbaya kwa tofali ni nzuri kwa mambo mengine kama floor na zege ?

Sorry nilikuwa busy kidogo!!! sijakimbia

offcz cement ni nzuri na cyo ya kitanzania,, hii tuna import kutoka pakistan sisi wenyewe..

Huduma hii inaptikana kwa DAR tu lakini kama unahitaji zaidi kuhusu mkoani, unaweza ukaja ofisini kabisa tukaongea

Haina ubaya katika tofali linalotengenezwa kutumia hiyo cement wala zege!!!

Trust me,its really a great cement
 
Mkuu hiyo Cement unayo stock au ni kama hawa akina Zakaria na mohamedi enterprises ambao unalipia unasubir wiki 4 mzigo bado hujaletewa?na ili uweze kuletewa hadi kwenye eneo lako la biashara unatakiwa ununue kuanzia mifuko mingapi?isije ikawa ni contena zima kama wanavyotubana hawa wafanyibiashara wenye asili ya kiasia.

IKO KWENYE STOCK,, Hata ukitaka mifuko 600 na zaidi inapatikan
unanunua kulingana na uwezo wako,, ofcz siyo lazima ununue kontena zima!! but for jumla tunaanza kuuza mifuko 20

Zakaria,, yeah nimesikia huwa analeta huo usumbufu,, but huku hakuna huo usumbufu
 
for all people who are serious in doing business

you can call this no 0779 31 11 11 and get the information!!! or you can PM me for more information

I DO SAY SORRY FOR MY LATE REPLIES.. WAS KINDA BUSSY
 
Helooo
mambo vipizz?? kwa wale watakao hitaji cement jumla na reja reja inapatikana

Aina ya cement ni lucky cement, Cement ni ya uhakika na inatoka nje!! Nadhani kwa wanayo ifahamu washanielewa

Kwa jumla inapatikana kwa 14000 na reja reja inapatikana kwa sh 14500

WOTE MNAKARIBISHWA!!
MAHALI :MAGOMENI MORROCO HOTEL

NOTE!!

USAFIRI UTATOLEWA BURE KWA WALE WATAKAOCHUKUA CEMENT KWA JUMLA

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NO

0779 31 11 11


WOTE MNAKARIBISHWA
Huo unafuu uko wapi?kwani hivi sasa hapa Dar tunanunua mfuko mmoja kwa bei ya rejareja Tsh 14,500/= sasa huo ni unafuu gani?
 
Sorry nilikuwa busy kidogo!!! sijakimbia

offcz cement ni nzuri na cyo ya kitanzania,, hii tuna import kutoka pakistan sisi wenyewe..

Huduma hii inaptikana kwa DAR tu lakini kama unahitaji zaidi kuhusu mkoani, unaweza ukaja ofisini kabisa tukaongea

Haina ubaya katika tofali linalotengenezwa kutumia hiyo cement wala zege!!!

Trust me,its really a great cement
Mkuu sipo dar ndio maana siwezi kuja ofisini kwenu, lets say kama nataka mifuko kuanzia 40; kwa sehemu kama arusha, mwanza, bukoba au shinyanga zinaweza zikafika kwa kiasi gani kwa kila mfuko.?

Thanks in advance
 
duh pole saana mkuu,, unanua bei kubwa saana!! njoo huku upate @ cheap price
Mkuu huyo jamaa yupo mikoani sasa akija kwenu by the time amepakia na kupeleka kule alipo si bei itakuwa imezidi 17,500 au hata hio 19,000 ambayo ananunulia au?
 
Tuache ushabiki,ila cement ya pakistan is the great,kama kuna mtu anabisha aende akaulize wauza tofali wanatumia cwment gani?kama unahitaji kujenga nyumba kwa uimara tumia hii cement!habari ndio hiyo.
 
Back
Top Bottom