kwanini ninunue haraka mkuu? au zimepigwa mahali sio?
Ni used au mpya
tatizo la wafanyabiashara wa tz wanadhani kuwa mwenyeshida ni yule anayenunua tu kumbe hata anayeuza pia ana tatizo.
kama hana asingeuza....
twende kwenye shida zetu mkuu, mi nimeipenda hiyo galaxy s.(t-mobile), ni galaxy si,sii au iii na ni namba ngapi? nataka nii google specs zake kwani hujaweka wazi
Blackberry bold 9700 kwa laki tatu na blackberry curve kwa shilling laki na nusu na samsung galaxy S ya T mobile unlocked shilling laki tatu na nusu
umesahahu hata kuweka contact zako mambo ya kupiga maana umekuja unakimbia jamii forums utoe mzigo...... hahhaha jokes mkuu usi-mind
Mimi naomba mabenk yatusogezee huduma za online purchase maana simu zingine bei yake ni rahisi sana kwenye mtandao (mfano ebay.com) lakini jamaa walioko huko wanaponunua kwa bei chee wanatuuzia kwa bei kubwa sana. Mtazidi kutuongezea umaskini. Simu ya dola 50 mnataka laki 5 hadi 6, kwanini? mtuhurumie.
Kama wewe ni Kibaka unadhani wote vibaka kwanini ufikirie huko eti zimepigwa mahali sio? Peleka ujinga wako huko kwanza kwanini u comment hata hela ya kununua huna
Blackberry bold 9700 kwa laki tatu na blackberry curve kwa shilling laki na nusu na samsung galaxy S ya T mobile unlocked shilling laki tatu na nusu