Mr Kipago
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 597
- 622
sorry I meant 10$ wamesema wanawez kuiwekea logo ya apple kwa nyuma na wakati wa kuwashaHapo kwenye red
Naomba ufafanuzi.
Kisha nitakupa mchanganuo
sorry I meant 10$ wamesema wanawez kuiwekea logo ya apple kwa nyuma na wakati wa kuwashaHapo kwenye red
Naomba ufafanuzi.
Kisha nitakupa mchanganuo
Hii cameranmpaka niipate sh ngapi?
Amazon product ASIN B00DSR62KY
Original iPhone 5s Unlocked 16GB / 32GB ROM 8MP camera 1136x640 pixel WIFI GPS Bluetooth Cell phone multi language
Original iPhone 5s Unlocked 16GB / 32GB ROM 8MP camera 1136x640 pixel WIFI GPS Bluetooth Cell phone multi language-in Mobile Phones from Phones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group
(from AliExpress Android)
http://www.fastcardtech.com/ au www.ebay.com
Sawa mkuu. Ila kwa uzoefu wako wa item kama hiyo, shipping na kodi vinaweza vikawa bei gani. Sababu sitaki baadae ifike nianze kujutia gharama. Tumia uzoefu, roughly total, nifanye maamuzi.View attachment 478070
Manunuzi USD $120
My charges USD $10
Kutakuwa na awamu tatu za malipo
1. manunuzi - Hiyo USD $130
2. Ghalama ya kusafirisha kutoka USA kuja Tanzania - itajulikana baada ya mzigo kupokelewa USA
3. Malipo ya KODI / VAT baada ya mzigo kufika nchini
Karibu
Shipping - Iwapo uzito wa package utakuwa chini 500gm Gharama ya kusafirisha ni USD 15Sawa mkuu. Ila kwa uzoefu wako wa item kama hiyo, shipping na kodi vinaweza vikawa bei gani. Sababu sitaki baadae ifike nianze kujutia gharama. Tumia uzoefu, roughly total, nifanye maamuzi.
Mkuu huo mzigo umekugharimu kiasi gani mpaka kufika tanzania hapo ukijumlisha cost zote ulizotumia in tshs.??Mkuu Mwl.RCT asante kwa kazi nzuri ulionifanyia kwani smart TV yangu nimeipokea na ni brand ileile niliyoagiza!.....smart TV yangu nimeshaifunga gheto tayari na kila kitu ni kipya,TV imekuja katika hali yake nzuri kabisa utafikiri nimeinunua dukani kwa jirani kumbe nimeinunua kutoka marekani!......Kampuni ya Aramex iliyosafirisha mzigo wangu ni wataalam sana wa kufunga mzigo kwani smart TV yangu nimeikuta kwenye package ya box mbili kiasi kwamba iliposafirishwa na basi hadi huku nilipo nimeikuta ni salama kabisa japo iliwekwa kwenye buti lakini kwa ufungaji ule box lake halikubonyea hata nukta ni kama vile mtu ameleta kwa kubeba kichwani!!.......Mkuu nakushukuru sana sana na endelea na moyo huo huo wa kuwasaidia Watanzania!........Leo sina uhakika kama nitalala kwani naexprience picha katika ubora wa wa hali ya juu wa 1080p!!........ingekuwa ningeweza kukufanyia rating ningekupa 5 star mkuu!!
imenigharimu sana kwenye nauli na kodi,inashauriwa nunua TV USA tu kama hiyo model haipo hapa nchini kwa sababu jumla ya gharama(bei+usafiri+kodi) unapata tv mbili hapa nchini za aina hiyohiyo!........ila mimi faida nilizozipata ni kupata product original na pia model niliyonunua ilikuwa ni product kwa ajili ya USA!(made for north America)Mkuu huo mzigo umekugharimu kiasi gani mpaka kufika tanzania hapo ukijumlisha cost zote ulizotumia in tshs.??
Asante kwa ufafanuzi wako maridhawaimenigharimu sana kwenye nauli na kodi,inashauriwa nunua TV USA tu kama hiyo model haipo hapa nchini kwa sababu jumla ya gharama(bei+usafiri+kodi) unapata tv mbili hapa nchini za aina hiyohiyo!........ila mimi faida nilizozipata ni kupata product original na pia model niliyonunua ilikuwa ni product kwa ajili ya USA!(made for north America)
How much hiiMr Kipago
Angalia hii
View attachment 477918
link
Je kwa nini nimependekeza hiii
1. Battery life
- Hii utaitumia kwa masaa 15 iwapo unasoma au unafanya kazi bila ya intenet connection.
- Na utatumia kwa zaidi ya masaa 9 - 10 iwapo upo connected kwenye internet kwa njia ya Wi-Fi
- Utaitumia kwa zaidi ya masaa 7 iwao unatumia Modem
Wakati laptop ulio chagua inakaa na charge kwa saa 2 - 4hrs
View attachment 477919
2. Hii na ROM ya 64GB - EZbook
- wakati yako uliochagua ina ROM ya 32GB
Mkuu naomba kuuliza, je kama nikinunua hiki kifaa nitaweza kupata local chanell bila malipo yoyote?View attachment 466036
Ndugu Juma Punguza Misifa
Itakughalimu TSH 32,737.75 - Iwapo upo DSM
Kama upo mkoani utaongeza TSH 10,000 iwapo utatumiwa kwa njia ya Basi au TSH 15,000 iwapo utatumiwa kwa EMS
Karibu
- Ni channel chache sana zilizo kwenye mfumo wa T2 kwa mijiniMkuu naomba kuuliza, je kama nikinunua hiki kifaa nitaweza kupata local chanell bila malipo yoyote?