Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

upload_2017-3-8_4-58-9.png

Ghalama kwa Moja
- Manunuzi USD 253.82
- Extra USD 10 (kuwekewa logo )
upload_2017-3-8_5-5-7.png

- My chatges USD 15
JUMLA USD $278.82

- Je ni rangi ipi unahitaji?
- Je unataka ziwe ngapi?

Karibu
 
Mr Kipago

Angalia hii
upload_2017-3-8_5-11-2.png


link
Je kwa nini nimependekeza hiii
1. Battery life
- Hii utaitumia kwa masaa 15 iwapo unasoma au unafanya kazi bila ya intenet connection.
- Na utatumia kwa zaidi ya masaa 9 - 10 iwapo upo connected kwenye internet kwa njia ya Wi-Fi
- Utaitumia kwa zaidi ya masaa 7 iwao unatumia Modem

Wakati laptop ulio chagua inakaa na charge kwa saa 2 - 4hrs
upload_2017-3-8_5-19-0.png


2. Hii na ROM ya 64GB - EZbook
- wakati yako uliochagua ina ROM ya 32GB
 
Original iPhone 5s Unlocked 16GB / 32GB ROM 8MP camera 1136x640 pixel WIFI GPS Bluetooth Cell phone multi language
Original iPhone 5s Unlocked 16GB / 32GB ROM 8MP camera 1136x640 pixel WIFI GPS Bluetooth Cell phone multi language-in Mobile Phones from Phones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group
(from AliExpress Android)
upload_2017-3-8_14-26-32.png


Bei ya manunuzi inategemea size ipi umechagua, Je kati ya 16GB, 32GB & 64GB ipi unahitaji?

Je unataka rangi ipi kati ya hizi? - White, space gray, au Gold

NB
- Muuzajia hatumi moa kwa moja Tanzania
- Hivyo mzigo utapokelewa kwanza HONG KONG, ndipo utumwe tanzania
- Kutakuwa na malio awamu Tatu
1. manunuzi - ili kujua cost chagua size kwanza
2. usafirishaji
3. Kodi/ VAT baada ya bidhaa kufika nchini.

USHAURI
- ili kupunguza ghalama
- Tumia FREE SHIPPING, hivyo chagua simu hapa
Code:
 http://www.fastcardtech.com/  au www.ebay.com
 
View attachment 478070

Manunuzi USD $120
My charges USD $10

Kutakuwa na awamu tatu za malipo
1. manunuzi - Hiyo USD $130
2. Ghalama ya kusafirisha kutoka USA kuja Tanzania - itajulikana baada ya mzigo kupokelewa USA
3. Malipo ya KODI / VAT baada ya mzigo kufika nchini

Karibu
Sawa mkuu. Ila kwa uzoefu wako wa item kama hiyo, shipping na kodi vinaweza vikawa bei gani. Sababu sitaki baadae ifike nianze kujutia gharama. Tumia uzoefu, roughly total, nifanye maamuzi.
 
Sawa mkuu. Ila kwa uzoefu wako wa item kama hiyo, shipping na kodi vinaweza vikawa bei gani. Sababu sitaki baadae ifike nianze kujutia gharama. Tumia uzoefu, roughly total, nifanye maamuzi.
Shipping - Iwapo uzito wa package utakuwa chini 500gm Gharama ya kusafirisha ni USD 15
- Hivyo mpaka hapo itakuwa ni USD $145

Kodi
- Jinsi wanavyo kokotoa kodi angalia hapa: Kukatwa kodi kwa mizigo Hapo angalia post #4

- Ni vigumu kusema kodi ni kiasi gani utalipa, maana mamlaka husika wakati mwingine huwa wanakataa invoice inayokuja na mzigo na ku_ uplift thamani ya bidhaa husika.
 
Mkuu Mwl.RCT asante kwa kazi nzuri ulionifanyia kwani smart TV yangu nimeipokea na ni brand ileile niliyoagiza!.....smart TV yangu nimeshaifunga gheto tayari na kila kitu ni kipya,TV imekuja katika hali yake nzuri kabisa utafikiri nimeinunua dukani kwa jirani kumbe nimeinunua kutoka marekani!......Kampuni ya Aramex iliyosafirisha mzigo wangu ni wataalam sana wa kufunga mzigo kwani smart TV yangu nimeikuta kwenye package ya box mbili kiasi kwamba iliposafirishwa na basi hadi huku nilipo nimeikuta ni salama kabisa japo iliwekwa kwenye buti lakini kwa ufungaji ule box lake halikubonyea hata nukta ni kama vile mtu ameleta kwa kubeba kichwani!!.......Mkuu nakushukuru sana sana na endelea na moyo huo huo wa kuwasaidia Watanzania!........Leo sina uhakika kama nitalala kwani naexprience picha katika ubora wa wa hali ya juu wa 1080p!!........ingekuwa ningeweza kukufanyia rating ningekupa 5 star mkuu!!
Mkuu huo mzigo umekugharimu kiasi gani mpaka kufika tanzania hapo ukijumlisha cost zote ulizotumia in tshs.??
 
Mkuu huo mzigo umekugharimu kiasi gani mpaka kufika tanzania hapo ukijumlisha cost zote ulizotumia in tshs.??
imenigharimu sana kwenye nauli na kodi,inashauriwa nunua TV USA tu kama hiyo model haipo hapa nchini kwa sababu jumla ya gharama(bei+usafiri+kodi) unapata tv mbili hapa nchini za aina hiyohiyo!........ila mimi faida nilizozipata ni kupata product original na pia model niliyonunua ilikuwa ni product kwa ajili ya USA!(made for north America)
 
imenigharimu sana kwenye nauli na kodi,inashauriwa nunua TV USA tu kama hiyo model haipo hapa nchini kwa sababu jumla ya gharama(bei+usafiri+kodi) unapata tv mbili hapa nchini za aina hiyohiyo!........ila mimi faida nilizozipata ni kupata product original na pia model niliyonunua ilikuwa ni product kwa ajili ya USA!(made for north America)
Asante kwa ufafanuzi wako maridhawa
 
Mr Kipago

Angalia hii
View attachment 477918

link
Je kwa nini nimependekeza hiii
1. Battery life
- Hii utaitumia kwa masaa 15 iwapo unasoma au unafanya kazi bila ya intenet connection.
- Na utatumia kwa zaidi ya masaa 9 - 10 iwapo upo connected kwenye internet kwa njia ya Wi-Fi
- Utaitumia kwa zaidi ya masaa 7 iwao unatumia Modem

Wakati laptop ulio chagua inakaa na charge kwa saa 2 - 4hrs
View attachment 477919

2. Hii na ROM ya 64GB - EZbook
- wakati yako uliochagua ina ROM ya 32GB
How much hii
 
Mkuu naomba kuuliza, je kama nikinunua hiki kifaa nitaweza kupata local chanell bila malipo yoyote?
- Ni channel chache sana zilizo kwenye mfumo wa T2 kwa mijini
- Kwa wakati tulionao ni vyema ukanunua receiver yenye DVB S2 & T2
- Mfano V7 Combo (freesat) bei tzs 120,000
 
Back
Top Bottom