Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Pole, ulipaswa ubadili your add in the first place before making any checkouts...

Credit card yako kuwa ya TZ sio shida as long as ni VISA or Mastercard ambayo ipo authorized kufanya online transactions...
 
Mwl.Rct

Habari za uzima naomba kufahamishwa jambo hili na kwa faida ya wana online purchase pia

~Origin certificate
~orignal bill of landing
~ insurance certificate

Je, hizi doc. Nikifanyamalipo kwa CIF je ni wajibu wa nani kuzilipia shipping fee
Maana hizi documents zinatakiwa kufika mapema kabla mzigo haujafika kwa mizigo inayo pitia njia ya bahari

Je CIF contract inasemaje juu utumwaji wa hizi documents ni wajibu wa nani kuzilipia shipping fee

Je, hapa nchini wanapokea Telex release bill of landing ? Au ni lazima uwe na orgin bill of landing kwamba ukiikosa utashindwa kupokea mzigo wako?

Vipi kuhusu orgin certificate ina umuhimu wowote wakati wa kufanya custom clearance ?

Na wasilisha mkuu
 
Je, hizi doc. Nikifanyamalipo kwa CIF je ni wajibu wa nani kuzilipia shipping fee
Muuzaji ndiye anapaswa kulipia, ni kiasi kidogo haizidi US $16 kufikisha Tanzania.
Maana hizi documents zinatakiwa kufika mapema kabla mzigo haujafika kwa mizigo inayo pitia njia ya bahari
Ni kawaida kufika mapema sababu hutumwa kwa njia ya DHL/ ARAMEX etl na huchukua siku 5 hadi 7 kufika
Au ni lazima uwe na orgin bill of landing kwamba ukiikosa utashindwa kupokea mzigo wako?
Inatakiwa uwe na original doc, Documents hufika mapema kabla ya mzigo husika.
Vipi kuhusu orgin certificate ina umuhimu wowote wakati wa kufanya custom clearance ?
Ni vyema kila documents inayohusiana na mzigo iwepo ili kurahisisha taratibu za clearance.
 
Nikiagiza simu je inakuja na chaji pamoja na earphone zake?

Wewe mnunuzi ndiye unachagua ije na headphone au la.
Ukichagua bila headphone gharama huwa ni ndogo, na ukiweka headphone gharama inaongezeka, Hivyo ufanyapo manunuzi amua ni option ipi kati ya No.1 hadi 5 ihusike kwenye hesabu.

Kwenye link uliyotoa
1. Ikiwa na headphone bei ni TZS. ‭431,880‬
2. Ikiwa bila headphone bei ni TZS. ‭424,560‬
 
Na rangi pia inafanya bei iwe juu au? Mfano nyeusi
 
Asante sana mwl. Kwa kujibu maswali haya kwa umakini na ufanusi mkubwa mungu akubariki sana hii naaamini ita kuja kuwasaidia watu wengi sana huko mbeleni
Ubarikiwe sana mkuu
 

Asante nmeupata mzigo asante sana kwa huduma hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…