idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Asante sana mkuu nimepata mzigo wangu..TZS. 230,901
MUda: Ndani ya siku 14
Asante sana mkuu nimepata mzigo wangu..TZS. 230,901
MUda: Ndani ya siku 14
- Model ipi ya TV? - Gharama ya manunuzi hutofautiana kulingana na model/ brand ya TV husika.
- Je uko Dar au mkoani? - Delivery cost kwa Dar ni tofauti na mikoani.
Muda Wa delivery inakuwaje?TZS. 139,080 - 16GB
Inategemea na link husika.
Nipe link nitakupa ufafanuzi
- Kila muuzaji ana kiwango cha chini alicho jiwekea.
- Ni jukumu lako kuangalia muuzaji anataka uchukue kuanzia idadi kiasi gani na mahitaji yako ni yapi.
Karibu
TZS. 136,640Amazon product ASIN B07C1RLJRP
hii je bei gani hadi mkononi?
okay asante..But why gharama imekuwa 100 percent double?Ni gharama ya usafiri tu?TZS. 136,640
Muda: Ndani ya siku 10 hadi 14
Njia ya malipo: Mobile Benking - Ukiwa tayari kulipia nijulishe.
Karibu
- Pitia maelezo ya soko kundi B100 percent double?Ni gharama ya usafiri tu?
asante sana nimeelewa,ntakucheck mkuu