johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
- Thread starter
- #21
Arusha kuna Tazara!TAZARA.
Arusha kuna Tazara!TAZARA.
Nacheka kama mazuri 😁😁Kinundu cha ujinga kile
Inawezekana ni epidermal cyst.Hilo nundu anako siku zote... Itakuwa alidundwaga huko primary
Ndo nini hii mkuuInawezekana ni epidermal cyst.
Watanzania wana tatizo la kuuliza maswali sensitive kwenye wrong audiences.ni vyema ungemuuliza au ungewauliza wale magereza labda hata mate wenzie huko aliko...sisi unatuonea tu...
Hahahaaaa........!Kinundu cha ujinga kile
Bora wewe mwanamama.Hilo nundu analo siku zote.....
Wewe huijui nguvu ya Jf!Watanzania wana tatizo la kuuliza maswali sensitive kwenye wrong audiences.
Unakutana na mjinga mmoja anatoa ushauri kwa Samia kupitia ki grupu chao cha watsap as if Samia yupo kwenye hilo grupu wakati huo huo wanasisitiza yanayojadiliwa kwenye hilo grupu yasitolewe nje ya grupu.
Nimemwona aliyekuwa DC wa Hai Ole sabaya akiingia mahakamani huku akiwa na nundu kubwa kwenye kichogo cha kichwa chake.
Nimemuona kupitia luninga ya ITV na picha yake ilikuwa ikirudiwarudiwa kuonesha nundu lililopo kichogoni.
Au analo siku zote?
Nitajie kiongozi mmoja tu ambaye siyo katili.General ole sabaya mtu katili hawa ndio ccm inawandaa kuwa viongozi
Uwe makini na wewe usije ukaingiziwa dusheBora wewe mwanamama.
nawasoma wanaume wenzangu naona wanawaza kuingiliana kinyume na maumbile tu baada ya mtu kuuliza nundu ya kichwa imetokana na nn.
Mtu mzima akili inawaza uume na matako ya mwanaume mwezake plus kinyeo kwenye kutoa majibu kwa swali la uwepo wa nundu kichwani.
NdugulileNitajie kiongozi mmoja tu ambaye siyo katili.
Kabisa, maana sitaki kufanana na wewe, kulifahamu kuliwaza na kulihubiri athari zake.
... may be mabaunsa walikuwa wanagombea umiliki who knows!Ha ha ha!
Nami nimeliona nakushangaa!
Si ajabu kapigwa konzi na mabaunsa.