Nunda (9) Nunda kafeli kapata "F"

Nunda (9) Nunda kafeli kapata "F"

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Sikumoja Nunda alirejea shule na kumwambia baba yake kuwa amepata "F"
Baba yake akashangaa sana vipi umepata F

Nunda; Mwalimu aliuliza 3X2 nikamwambia jawabu ni sita
Baba: Ni sawa sawa kabisa !
Nunda: kisha akauliza tena 2X3
Baba:Mwalimu mshenzi kuna tofauti gani hapo !

Nunda: Ndio baba na mimi nilimwambia hivyo hivyo ,we mwalimu mshenzi sana kuna tofauti gani hapo :becky:
 
Hamna cha bifu wala mwalimu hana kitu ,ila naona hapo juu mpo wawili mmeungana na baba yake Nunda ,yaani sababu ya Nunda kupata F alijibu maneno ya kumdharau mwalimu ,baada ya baba yake kumwambia au kuliona kosa la mwanae na yeye alimponda mwalimu ,hivyo hata faza wake Nunda alipata F.:becky:
 
Back
Top Bottom