Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,512
Hahahaa...double up
My dear KiLaZA, tutakushauri juu ya nini........ for sijaona kwakweli!! Tatizo lako we ni mbishi na hautaki kuelewa, embu yachambue hayo unayoyaita matusi! Natumai utakuwa umejifunza kitu cha msingi, hapa sio ushauri tu na mafunzo pia utayapata (tumia hili la leo as ur best lesson). Unaposema umekula dada na mdogo wake maanake nini? Unaulizwa na kukosolewa, we unajibu eti ni heading tu kama ya kwenye magazeti, unavuta wateja......what is that?? Haya, basi jitahidi na wewe kuonyesha usaidiwe upande gani, yaani ndo kwanza michano mterezo mwanzo mwisho! Ina maana hujui wahitaji nini??? If you really need help, rudi kajirekebishe then go by another thread!! By the way, how do you take that act of yours, nafsi yako inakichukuliaje hicho kitendo ulokifanya kwa ndugu wawili?
Hapo kishanuka! Kama house girl analipa nae mpitie, then wabwage wote kwa ujumla usepe!Habari zenu JF.
Mkasa uko hivi.
Kuna msichana X nilikuwa na namfutulia ambaye sasa ndo gf wangu. Lakini haikuwa rahisi ilibidi nifanye kazi ya ziada kupata contact za X . Nilijitahidi kuzoeana na dada yake X anaitwa Ney ambaye ni muongeaji sana na anapenda kudhurura mtaani. Nilikuwa nikimdadisi Ney kuhusu mdogo wake lakni halikuwa haonyeshi ushirikiano. Siku moja Ney akaniambia nitafute sehemu yenye faragha anipe mkasa wote kuhuse X, nikakubali tukakutana, tulipiga story nyingi sana lakini Ney hakutaka katakata kunipa story za X, maongezi yaliendelea huku tukishushia na kitu ya Serengeti baridi. Hatimaye maji yakazidi unga. Tukavunja Amri ya Sita (mimi na Ney).
Sikufurahia kile kilichotokea ila juhudi zangu za kumnasa X ziliendele, hatimaye nikapata namba ya X kupitia na mfanyakazi wao wa ndani. Baada ya muda nikamuweka sawa akaelewa somo na pia nikampa mkasa wote kati yangu na dada yake. Alionyesha kusikitika ila ndo alikuwa ameshakolea kwangu.
Tatizo ada mtu (Ney) amekuwa akitoa maneno ya ajabu na kejeli kibao kwa mdogo wake mpaka anashinda akilia, anasema eti mimi bado ninamahusiano naye, pia vitisho kuwa kama tukioana yeye atavua chupi kanisani na kuturushia.
Naombeni ushauri wenu nifanyeje? Kichwa kinauma kila siku.
make their mom what??????
utaanza mtu na dada, mara mama, na cousins. Ukifikia hatua hiyo roho ya kikamerun huja kwa kasi sana, na unaanza kuwatafuta kaka zake. Hao kaka kazi yao huwa ni ya ungariba, sasa kama unataka kukutana na ngariba ukubwani we jaribu huo mchezo.
Ni bora kugombanisha watu wa nje kuliko wa ndani, wivu unakuja bila mhusika kujijua na waweza fanya maasi mabaya, abormination kuwafanyia wa nyumba moja hayo
Naona humu watu wengi wanajifanya malaika. Wakati najua wengi wazinzi tu bora hata CtKiLaza aliyeamua kuwa mkweli. Bwana wewe oa huyo mdogo wake x. Ndoa na upendo havina formula. Achana na hao wachafuzi wanaojifanya malaika nyambafu zao.