unazungumzaje kuhusu demotion au promotion nini kilistahiliKuwajibika maana yake nini? Neno hili linatoholewa kutoka kwenye misingi utawala bora. Pillars of good governance. One of these pillars is Responsible/ acountable. It means being answerable for ones actions. Hii ndiyo kuwajibika kwa watu tunaowaongoza au kwa matendo yako binafsi. Ni tofauti na jinsi wengi wanavyolichukulia neno kuwajibika kama vile kuachia ngazi au kufukuzwa kazi. Hii si tafsiri halisiilnayokusudiwa kwenye utawala bora. Heche anaposema "tusipowajibishana wenyewe kwa wenyewe ana maanisha tusipofukuzana wenyewe kwa wenyewe, jambo ambalo ni upotofu wa dhana ya utawala bora. Lakini pia mtu anapotoa majibu kwa matendo/ makosa yake si lazima afukuzwe chama au kazi ili chama kionekane mbele ya jamii kuwa kinataka mabadiliko. Sidhani kama kona adhabu moja kwa kila kosa. Tukifanya hivyo tutakuwa wavivu wa kufikiri kwa kutoa jibu moja kwa kila swali.
- AT least najikomba kwa watawala kuliko the sideliners kama vipi, ha! ha! ha! ha!, kazi kufukuzana tu chama cha ubabe na matusi, hamtakuja kupata kura za wanawake hata siku moja ambao ndio hasa wapiga kura kila mnalofanya mnapogombana is good kwetu CCM
le mutuz
le mutuz
- AT least najikomba kwa watawala kuliko the sideliners kama vipi, ha! ha! ha! ha!, kazi kufukuzana tu chama cha ubabe na matusi, hamtakuja kupata kura za wanawake hata siku moja ambao ndio hasa wapiga kura kila mnalofanya mnapogombana is good kwetu CCM
le mutuz
le mutuz
unazungumzaje kuhusu demotion au promotion nini kilistahili kwa mtu aliyekutwa na vielelezo vya kumtukana ama kupanga wazi kumhujumu katibu mkuu wa chama?
Hizo comment zimekaa kmasaliasalia yenye harufu magambagamba!!Mbona umechagua wa kuwafukuza wengine umewaacha.
Kwa hiyo ndio akaamua wengine awafukuze uanachama na mwingine ampongeze na kumsifia kuwa ni mtu maarufu?
si kila aliyeondoka kwenye chama flani anaweza kIkithibika kuwa anakosa sharti aadhibiwe. Demotion ni mojawapo ya adhabu kati ya adhabu nyingi zinazoweza kutolewa mfano kutogombea nafasi yoyote ya uongozi kwa kipindi fulani, kupewa faini ya kiasi kadhaa na pesa hizo zikatumika kuinua chama nk. Sikatai mwanachama kupewa adhabu, lakini nakataa kuwafukuza wanachama kwa kila kosa. Pili maamuzi haya yanatakiwa yasemwe wazi kwenye katiba ya chama ni makosa gani ambayo mwanachama anaweza kufukuzwa na yale anayoweza kupewa adhabu tofauti na kufukuzwa. CHADEMA msijisahau sana kuwa Dr. Slaa ni matunda ya siasa za ubinafsi ndani ya CCM, leo hii Dr. Slaa amegeuka shubiri kwa CCM. Historia inakawaida ya kujirudia, hawa wanaofukuzwa kwa sababu iwayo yote aweza kugeuka mwiba kwa chama baadaye.Tusubiri tutaona tu, lisemwalo lipo na kama halipo leo litakuja.
waitara!!!! Teh huyo aliuza hawezi tenamimi nasubiri vita ya ubunge tarime heche na waitara.
- Dih! Kidumu chama tawala CCM! CCM Hoyeeeeee!!
le mutuz
Mimi nasubiri vita ya ubunge Tarime Heche na Waitara.
Mbaba, mbabu?miaka 51 ni mbabu bana!Huyu mbaba nae, hajui alifanyalo!
Mbona umri wako hauendani na unachoandika?are you mentally fit???or unaendeleza siasa za kujikomba!
Unaongea na Msukule?!
- Dih! Kidumu chama tawala CCM! CCM Hoyeeeeee!!
le mutuz
Exactly ifikie watakati watu tujikite kwenye mambo binafsi tukiamini mambo ya kitaifa yako kwenye mikono sahihi.Kweli mkuu tumechoka kuona madudu