Kipigi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 815
- 334
mishahara ya 3.5ml/= huku watanzania wanateseka kwa kukosa panadol,hata huruma hatuna
Mbona hulalamikii mamilioni wanayojilipa waume zako kule bungeni?,hizo milioni 3.5 ndio umeona ni issue,hivi hujiulizi kama nchi hii ingekuwa na huduma bora wangejitengea mabilioni kwenda kutibiwa flu ulaya?,usiwe pungu wewe unatetea tu,ninyi ndio ambao ata CCM ikimsimamisha mbwa kuwa kiongozi mnamchagua badala ya mtu wa upinzani.