Ntawezaje kuajiriwa nje ya nchi kama Dr.

Ntawezaje kuajiriwa nje ya nchi kama Dr.

frictional

Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
20
Reaction score
0
Habarini wana JF.
Nina ndoto za kuishi nje ya nchi, lakini kuna vitu vinanikatisha tamaa.
1.nkimaliza degree yangu ya Dr hapa Tanzania, naweza pata ajira nje ya nchi au laah.?
2.ni vigezo gani niwe navyo ili niweze ajiriwa nje ya nchi.?
3.Ni kweli kwamba ukisoma katika chuo kikuu cha international medical and technological university (imtu) naweza pata ajira popote duniani?
 
Back
Top Bottom