nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 660
- 729
Kwa zaidi ya miezi minne sasa mototo wangu alipaswa kupata chanjo ya Surua kama alivyopangiwa Wa wahudumu Wa afya.
Wauguzi katika zahanati ya umma ambako nimekuwa nikimpeleka kupata chanjo walinipangia yakuwa mtoto akifikisha miezi 9 nimrudishe apewe chanjo ya kinga ya ugonjwa wa Surua.
Mototo kafikisha miezi tisa tangu October 2016 lakini hafi Leo January 2017 kila nikienda apewe chanjo, nimekuwa nikijibiwa chanjo zimeisha nije siku nyingine.
Sasa nahitaji kujua hili tatizo la chanjo ni kwangu tuu au ni LA kitaifa.
Pili nisaidieni, hizi chanjo zinapatikana wapi tofauti na zahanati/hospital za umma. Kwa sasa napatikana Dodoma.
Wauguzi katika zahanati ya umma ambako nimekuwa nikimpeleka kupata chanjo walinipangia yakuwa mtoto akifikisha miezi 9 nimrudishe apewe chanjo ya kinga ya ugonjwa wa Surua.
Mototo kafikisha miezi tisa tangu October 2016 lakini hafi Leo January 2017 kila nikienda apewe chanjo, nimekuwa nikijibiwa chanjo zimeisha nije siku nyingine.
Sasa nahitaji kujua hili tatizo la chanjo ni kwangu tuu au ni LA kitaifa.
Pili nisaidieni, hizi chanjo zinapatikana wapi tofauti na zahanati/hospital za umma. Kwa sasa napatikana Dodoma.