pisces
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 240
- 61
mambo vp ndugu zangu. mm ni mtanzania nnaevizia nafasi za jeshi kwa maafisa mwaka huu. Mashaka yangu ni kwamba nnatumia miwani kwa miaka miwili sasa kutokana na myopia(kutoona mbali) sasa nna wasiwasi kama naweza kupata nafasi huko jw. Nipeni majibu kwa mnaofahamu.