Elewa swali sio unakurupuka tuu hujui kwanini nimeuliza hivyo na sio lazima unipe ushauri wewe muelewa atanipa ushauri
Elewa swali sio unakurupuka tuu hujui kwanini nimeuliza hivyo na sio lazima unipe ushauri wewe muelewa atanipa ushauri
umetoka kujisaidia brother au una makengeza
Kama anakupenda atakulinda!!! Mdanganye kwamba umefukuzwa kazi au chuo,kama upo kazini omba likizo ya wiki,halafu kaa home wiki nzima halafu check respond yake hapo,nauhakika akivuka kizingiti hicho bila utofauti basi ujue anakupenda!