Ntakufaje mzima?

Jamer winner

Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
22
Reaction score
2
Daktari mmoja alikuwa mlevi mpaka ikabidi apelekwe kwenye sektarieti ya maadili na mahojiano yalikua hivi; kiongozi:kwanini unalewa kwa kiwango hicho wakati unajua madhara ya pombe! daktari:asante sana,hivi unajua wote tutakufa sasa kwanini nife na mapafu na maini mazima?
 
mmmh... huyu sidhani kama alikuwa daktari ila muhudumu wa Mochwari!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…