Fundifundisho
Member
- Jan 11, 2011
- 77
- 18
Kwa kawaida mtu akifungua madai anatakiwa kulipwa ndani ya 2 weeks,lakini hapa ni tofauti..ni wasumbufu kinoma..!
bila kitu kidogo utakaa hata mwaka hujalipwa madai yako..!
Kuna ndugu yangu tangu afungue madai kila akienda anaambiwa cheki iko tayari ila haijasainiwa njoo kesho..kesho akienda jibu lilelile..
yaani wanataka rushwa mpaka kwenye haki zetu..!
bila kitu kidogo utakaa hata mwaka hujalipwa madai yako..!
Kuna ndugu yangu tangu afungue madai kila akienda anaambiwa cheki iko tayari ila haijasainiwa njoo kesho..kesho akienda jibu lilelile..
yaani wanataka rushwa mpaka kwenye haki zetu..!