Wasalaam,
Nimeachishwa kazi mwezi wa 3. Nimeenda kuangalia statement yangu ya michango inaonesha haijawasilishwa na mwajiri wangu kwa miezi 16. Nimefuatilia kwa mwajiri ananipiga tarehe tuu aliniambia atazipeleka.
Sasa najiuliza NSSF kazi yao ni nini kama sio pamoja na kuwakagua waajiri na kuwachukulia hatua kwa kutowasilisha michango ya wafanyakazi wao kwa wakati. Na ukizingatia wafanyakazi wanakatwa pesa zao kila mwezi, ila kwa nini hazipelekwi NSSF, zinaenda wapi? NSSF mko wapi? Au hamna mandatory ya kukagua waajiri wasiopeleka michango ya wanachama wenu?
Nimeachishwa kazi mwezi wa 3. Nimeenda kuangalia statement yangu ya michango inaonesha haijawasilishwa na mwajiri wangu kwa miezi 16. Nimefuatilia kwa mwajiri ananipiga tarehe tuu aliniambia atazipeleka.
Sasa najiuliza NSSF kazi yao ni nini kama sio pamoja na kuwakagua waajiri na kuwachukulia hatua kwa kutowasilisha michango ya wafanyakazi wao kwa wakati. Na ukizingatia wafanyakazi wanakatwa pesa zao kila mwezi, ila kwa nini hazipelekwi NSSF, zinaenda wapi? NSSF mko wapi? Au hamna mandatory ya kukagua waajiri wasiopeleka michango ya wanachama wenu?