Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 340
NSSF ni janga
muda mwingne nasemaga haya mambo wayamalize hukohuko juu huku chini tunapata tabu tu,maisha magumu alafu mtu ekari ananunua sh bilioni 8 kama sio kufuru ni nnWANASHINDWA KUWAPA MIKOPO WANACHAMA WA SACCOS WALIOJIUNGA NSSF, NA WAKAAHIDIWA MIKOPO WANANCHI WALALA HOI. MAFAILI WAMEYALUNDIKA TU OFISIN KWA KUWAAHIDI WATAPEWA MIKOPO KUMBE PESA WANAZIPIGA KUPITIA MIRADI YA KIFISAD. TENDENI KAZI KUSAIDIA KUINUA MAISHA YA WATZ NA SI KUJINUFAISHA NYINYI.
yaani kwa stahiri hiyohata ukoo wangu hautopata shidakabisa maana tutakuwa na fedha za kulisha adi wajukuu na vitukuuTanzania viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia rasilimalI za nchi ndio wana matatizo. Watu wanatafuna pesa kama mchwa
alafu utamu wa haya mambo statistics zote hizo ila kuna kiongozi atasema tuunde tume lazimaEscrow cha mtoto...
Braza kahtaan upo.?!.dah kitambo sana "sijakutia machoni". Wasalimie huko ughaibuni.Ange Quote vipande vya Wakorintho na wakolosai Usinge yaandika haya.
Hii ndio dasturi wa makatonta.
Mchungaji akipiga mimba Kondoo mnasema alimwagia maji ya Uzima wa milele ktk Ibada. Lkn Bakari akioa binti wa miaka 30 chini yake mnasema GAIDI MBAKAJI.
Yaani ukatonta ni laana ya ajabu sana.
JPM fanya kazi ya uraisi kwa kufuata sheria na kanuni za nchi.Ukiwa kama binaadamu makosa waliyoyatenda wenzako yanaonyesha hata wewe sio msafi kwa asilimia 100.Ukishaelewa hayo utaongoza nchi hii vizuri sana na utapendwa na hata FARU kule serengeti lakini ukiongoza nchi hii kwa ushabiki mwisho utajikuta umejipaka mavi.Kuna watanzania hawakutakii mema wanakuchochea uvimbe ufanye ushabiki hawa ndio wale watakaokuja kukucheka baadae.
Mada nyingine za JF ni za kukuchochea mwalimu wangu nakueleza kuwa mwangalifu na vizabinazabina.Fikia wakati ufuate mtiririko wa organogram nikiwa na maana wape power mawaziri,wakurugenzi ,RC,DC nk watende yake ambayo ni ya manufaa ya nchi..usifanye kazi wewe pekee yako utachoka mwalimu.