Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
JPM fanya kazi ya uraisi kwa kufuata sheria na kanuni za nchi.Ukiwa kama binaadamu makosa waliyoyatenda wenzako yanaonyesha hata wewe sio msafi kwa asilimia 100.Ukishaelewa hayo utaongoza nchi hii vizuri sana na utapendwa na hata FARU kule serengeti lakini ukiongoza nchi hii kwa ushabiki mwisho utajikuta umejipaka mavi.Kuna watanzania hawakutakii mema wanakuchochea uvimbe ufanye ushabiki hawa ndio wale watakaokuja kukucheka baadae.
Mada nyingine za JF ni za kukuchochea mwalimu wangu nakueleza kuwa mwangalifu na vizabinazabina.Fikia wakati ufuate mtiririko wa organogram nikiwa na maana wape power mawaziri,wakurugenzi ,RC,DC nk watende yake ambayo ni ya manufaa ya nchi..usifanye kazi wewe pekee yako utachoka mwalimu.
Haya maneno ya hekima