NSSF na fao la kujitoa

NSSF na fao la kujitoa

PRESIDA TO BE..

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
302
Reaction score
200
Ndugu wanaforum;
Natumaini hamjambo na wengi wenu mnaendeleza gurudumu la kujenga taifa letu pendwa Tanzania. Pia tunamshukuru Mungu kwa kutupatia uhai na tunaweza kuanzisha threads humu, Amen.

Hoja yangu nilipenda kujua Je, tokea Raisi Dr. John Pombe Magufuli atoe maelekezo kuhusu mifuko ya hifadhi kuendelea na kikokotoo cha zamani hadi 2023, Je kuna mdau au unamjua mdau ambae kashapewa mafao yake? (Fao la kujitoa).
Maana wengi wetu ajira hazieleweki huku private tuliko na kimbilio letu ni hicho kidogo tulichowekeza kitusaidie kusukuma gurudumu la maisha.
Nawasilisha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Naomba msaada mwenye kujua kama fao la kujitoa nssf lipo au ndo mpaka unitimize miaka 55....

Mtaani kugumu kama lipo tukachukue hizo hela tufanye hata biashara.
 
Arusha Fao la kujitoa lipo sasa sijui wewe uko wapi.kama una taaluma ya kukuwezesha kupata kazi ukitatafuta utapewa fomu ya fao la kukosa ajira.kama ni hawa wanyonge wasio na taaluma unapewa mkupuo wote.mcheki munga akupe maelezo ya arusha na ilimchukua mwezi tu akapewa cheki yake.0785874389
 
Mambo vipi kiongozi ??
Mbona namba haipatikani Chief ??
Arusha Fao la kujitoa lipo sasa sijui wewe uko wapi.kama una taaluma ya kukuwezesha kupata kazi ukitatafuta utapewa fomu ya fao la kukosa ajira.kama ni hawa wanyonge wasio na taaluma unapewa mkupuo wote.mcheki munga akupe maelezo ya arusha na ilimchukua mwezi tu akapewa cheki yake.0785874389

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni uwongo nyie Rais alisema ntu apewe akifie mbele lkn ss hv ukienda unaambia ww km proffesional katafute kaz ss huwa nashindwa kuelewa Rais alituongopea kutwambie tukachukie chetu?
 
Acheni uwongo nyie Rais alisema ntu apewe akifie mbele lkn ss hv ukienda unaambia ww km proffesional katafute kaz ss huwa nashindwa kuelewa Rais alituongopea kutwambie tukachukie chetu?
Hiyo ni kweli kuna mameneja wa baadhi ya mikoa wako hivyo! lakini cha kushangaza hata wenye professional kama za ualimu hakuna ajira sasa hivi!
 
Fao la kujitoa halipo ila kuna fao la kukosa ajira tu ambapo hua unalipwa kama umeachishwa kazi lakini sio kuacha mwenyewe,hili nalo ni jipu !!
Kama walivyoamua kutenga private sector waende Nssf na public sector wachangie Psssf ,kwanini wasituache sisi wa private tupate fao la kujitoa wao wa public sababu ya job security wasubiri hadi 55?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Naomba msaada mwenye kujua kama fao la kujitoa nssf lipo au ndo mpaka unitimize miaka 55....

Mtaani kugumu kama lipo tukachukue hizo hela tufanye hata biashara.
Lipo uwe na barua ya kuachishwa kazi ila kwa mbinde sana Mimi Nina mwezi Wa sita wananizungusha tu
 
Mheshimiwa Rais atusaidie kupata hela zetu NSsf,
 
Back
Top Bottom