NSSF na Daraja la Dr. Dau kule Kigamboni

NSSF na Daraja la Dr. Dau kule Kigamboni

hivi hii mifuko ya hifazi za
jamii si inashindana? kwann mapungufu ya nssf yasiwe advantage kwa
mifuko mingine? je ni lazima kuwa mwanachama nssf? mimi wakati naajiriwa
tuliletewa watu wa mifuko yote ya hifadhi za jamii wamwage sera kila
mtu achague mfuko anaotaka na kweli kila mtu alichagua anapopataka, sasa
hapa naona vita ipo kati ya mkurugenzi na vita inasababishwa na dini
yake

Nawachukia sana watu kama wewe wanaohusishanisha kila jambo na dini, nawachukia sana. Samahani kwa hilo.
 
1239968_10151875977014339_663694476_n.jpg
Hili sasa ndo daraja linajengwa, misingi yake ndivyo inavyotakiwa , zege na nondo kwa kwenda mbele.
Thanks NSSF kwa kuwekeza.
 
Sawa Mr. NSSF - mnawekeza kwenye miradi. ----- Jibu maswali hapa chini....

Je hiyo faida ya Uwekezaji inamfikiaje Mwanachama?

Kwanini mikopo yenye masharti nafuu isitolewe kwa wafanyakazi ili wawe na uhakika wa kulipwa kuliko hiyo miradi?

Je kuna mpango ya kubadilisha haya masharti magumu ya kukopa kupitia saccos, ili huo mpango uwe practical?

Je NSSF imeshaanza kulipwa na serikali kwenye miradi ya UDOM na Machinga complex?
 
Mkuu mtoa mada, naona mada yako imekaa kumpamba huyo Dr Dau, kama si Dau mwenyewe!
Hilo daraja pengine hata hujui maana yake, hilo ni temporary, na daraja lenyewe wala bado halijaanza kujengwa!
Sijui huna macho au vipi, si unayaona mabati yasiyoweza kubeba uzito mkubwa!
Na ta kukuelewesha Nssf Ni financier tu wa mradi na hawana ujuzi wa kusimamia hilo daraja isipokuwa wizara husika ya ujenzi na wataalam walioteuliwa.


nashukuru kwa ufafanuzi maana nilikuwa najaribu kutathmini hizo picha kitaalamu,,, hilo daraja linaonekana kabisa ni temporary na ndio maana na mimi nilitaka kumuuliza mtoa maada hilo daraja ni permanent au temporary???
 
Mkuu mtoa mada, naona mada yako imekaa kumpamba huyo Dr Dau, kama si Dau mwenyewe!
Hilo daraja pengine hata hujui maana yake, hilo ni temporary, na daraja lenyewe wala bado halijaanza kujengwa!
Sijui huna macho au vipi, si unayaona mabati yasiyoweza kubeba uzito mkubwa!
Na ta kukuelewesha Nssf Ni financier tu wa mradi na hawana ujuzi wa kusimamia hilo daraja isipokuwa wizara husika ya ujenzi na wataalam walioteuliwa.

Mkuu usishangae kuona hilo la temporary tukakabidhiwa kama main bridge. Bongo hapa kila kitu mteremko
 
daraja la kigamboni ni kwa ajili ya wageni wanaokaribishwa kujenga mji wa kigamboni,kama wangekuwa na kujenga daraja kwa ajili ya kusaidia wananchi wangejenga kwanza madaraja ya kule mwanza rufiji kigoma na kote kwenye vifuko mbali na kigamboni
 
Back
Top Bottom