NSSF na Daraja la Dr. Dau kule Kigamboni

NSSF na Daraja la Dr. Dau kule Kigamboni

Samahani napita...naona kama mfano wa msikiti vile.....dhana ya Dau kuinjilisha kimtindo mpaka public areas? au
Mkuu, FYI, Kigamboni na Dar ni PWANI ya Afrika mashariki Lazima paendane na MAZINGIRA YA WAKAZI Nawazawaa wa Pwani...Exactly pashabihiane na Msikiti !!! Kwani hata Ikulu ni moja ya nembo za msikiti... Na UUDSM nayo ina taswira za grand Mosque !!
Usistaajabu wala usishangaae majengo mengine yana fafafa na Church !! hiyo ni modern archtcl.
AbasMzeEgyptian hiyo ni iCon ya mwambao !!!
 
Hakika JK ni wakupongezwa...
Nenda pale NSSF kaulize JK kahusika kwa sehemu gani watakushangaa huo ni Mradi wa NSSF na serikali ilinawa mikono na haijatoa hata Senti Moja... hizo ni pesa za Wanachama ndio wakushukuliwa na sio Vasco aliyekula pesa zenu... i though wanasheria ni werevu kumbe mabogas hivi... unaleta kinyaa
 
JK kafanya mengi mazuri. Dr Magufuli anakuja kuendeleza pale alipoishia Kikwete
Jk hana hata chembe chembe ya kuhusika hapo na ndio maana hakutembelea hapo kwa aibu kuu kudivert pesa za kumalizia percent ya serikali katika kumalizia DARAJA Akatoka Benzi... Aibu kuu sana yeye hazungumzii hii kitu na nyie mnampazia bila aibu... kama mnampenda Kikwete Msifieni kuwa kasafiri nchi nyingi ndio sifa yake Kuu na sio kwenye Mambo kama Haya... ya maana...

Alitoa Ahadi lukuki mwishowe akasema ilikuwa ni siasa so hakufanya kitu katika kutimiza Ahadi zake za Uongo... Msitukumbushe Machungu utanisabababishia''Ninywe Maji mimi'' Alaa...
 
Dr Dau aliahidi angejenga daraja lakigamboni kuwakomboa watu na kweli. Leo hii wana Kigamboni wanaliita Daraja la Dau...awamu ya kwanza ishamalizika

Ao3LtnqFvmVs3usFmnqZQCphFoO-Z4F99XhM4WD3DIwN.jpg

_MG_3341.JPG

AW1A0068-1.jpg

AW1A0079.jpg


1-muonnekanowadarajalakigamboni_zps7b897d39.jpg



IMG_9921_zps42f01511.jpg




Na magari yashaanza kupita
22528925224_3eede6aaa9_h.jpg


22831443660_a2417cb0bf_h.jpg

22759300449_edebcbb04c_h.jpg

23422413686_e37ac842a8_h.jpg

22733741988_5563c82603_h.jpg

22733606597_21fae69c3e_h.jpg

22733748828_1086d3be7f_h.jpg

23127732685_7607e82ce5_h.jpg

IMG_3432.JPG


MR RESULTS ORIENTED huyo hapo kati kati
ktk kashfa tanzania hii ni kashfa kubwa sana ktk hili daraja zimepigwa hela nyingi na ni kati ya jipu litakalomuondoa huyo Dr.
 
12729098_10205968800761448_2400095938239521842_n.jpg


Safi sana ila Hili daraja inabidi liishe mapema sana ili kupunguza watu kujazana katika pantoni. Naskia jana lliharibika kabla hata ya kuanza safari..

ZRT6q8e.jpg


wJSmfHP.jpg
 
Kumalizika kwa daraja siyo hoja hapa hoja ni value for money
 
Hajajenga Dr Ramadhani Dau wamejenga wachina..

Na pesa za nssf zilizotumika kulijenga ni za wafanyakazi wa Tanzania ambazo ni investment pia ambazo ni 60% na serikali imetoa 40%.

Na DR. R. DAU ALIKUWA ANATIMIZA MAJUKUMU YAKE KAMA WATUMISHI WENGINE AKIWA KAMA KIONGOZI WA SHIRIKA AKA CHIEF NA MAAMUZI YAKE YANAPITIWA NA BODI YA WAJUMBE PIA...

SO HAPA HUSI POTRAY YEYE TU POTRAY NSSF SABABU ALIAGIZWA NA NSSF.

Hapo mkuu ama umeongea siasa ama vinginevyo lakini mwisho wa siku umepotosha taarifa na kwakuwa wewe unaonekana hivyo jibu utakavyoeza ilimradi no mikwara wala kutoka nje ya mada wala matusi...

Naomba kuwasilisha boss

AbasMzeEgyptian
 
Hajajenga Dr Ramadhani Dau wamejenga wachina..

Na pesa za nssf zilizotumika kulijenga ni za wafanyakazi wa Tanzania ambazo ni investment pia ambazo ni 60% na serikali imetoa 40%.

Na DR. R. DAU ALIKUWA ANATIMIZA MAJUKUMU YAKE KAMA WATUMISHI WENGINE AKIWA KAMA KIONGOZI WA SHIRIKA AKA CHIEF NA MAAMUZI YAKE YANAPITIWA NA BODI YA WAJUMBE PIA...

SO HAPA HUSI POTRAY YEYE TU POTRAY NSSF SABABU ALIAGIZWA NA NSSF.

Hapo mkuu ama umeongea siasa ama vinginevyo lakini mwisho wa siku umepotosha taarifa na kwakuwa wewe unaonekana hivyo jibu utakavyoeza ilimradi no mikwara wala kutoka nje ya mada wala matusi...

Naomba kuwasilisha boss

CgZwLEgWsAAVfkm.jpg
 
Ha ha ha you emotional whoever are you mate ..

But all good he the best i agree with you mate but everybody he the best...

Tuchape kazi why excitments mkuu?


Natumaini umesikia risala yake na natumaini you are a matured adult...
 
Jk hana hata chembe chembe ya kuhusika hapo na ndio maana hakutembelea hapo kwa aibu kuu kudivert pesa za kumalizia percent ya serikali katika kumalizia DARAJA Akatoka Benzi... Aibu kuu sana yeye hazungumzii hii kitu na nyie mnampazia bila aibu... kama mnampenda Kikwete Msifieni kuwa kasafiri nchi nyingi ndio sifa yake Kuu na sio kwenye Mambo kama Haya... ya maana...

Alitoa Ahadi lukuki mwishowe akasema ilikuwa ni siasa so hakufanya kitu katika kutimiza Ahadi zake za Uongo... Msitukumbushe Machungu utanisabababishia''Ninywe Maji mimi'' Alaa...
una mimba ya chuki dhidi ya JK,kama waziri alisaini inakuaje rais asihusike?!..tumia bichwa lako vizuri
 
una mimba ya chuki dhidi ya JK,kama waziri alisaini inakuaje rais asihusike?!..tumia bichwa lako vizuri

Mkuu Huyo jamaa anachuki sana nilishamsoma kitambo na si kwa jk pekee mpaka upande mwingine huwa anachuki sana, so mpuuzie mbali hana maana yeyote
 
Back
Top Bottom