NSSF ipo taabani kifedha

Huwa nashangaa sana, yaani wamachama tunaokatwa mishaara yetu kila siku tuna hali ngumu ya maisha na wanaotutunzia wanaaisha mazuri sana. Hapo ndo utangundua aliyeturoga waafrika kashakufa.
 
Mwambieni Mbowe arudishe mkopo wa NSSF ambao amepanga kuwatapeli. Watu aina ya Mbowe ndio hao hao wanaoshiriki kuikwamisha mifuko yetu ya kijamii.
Mwambie Magufuli amtumbue jipu kama ni kweli la sivyo tutajua anatumbua dagaa tu na kuacha mapapa?
 
Mwambie Magufuli amtumbue jipu kama ni kweli la sivyo tutajua anatumbua dagaa tu na kuacha mapapa?
Wa kutumbua ni vigogo wa Nssf wanaotumia michango yetu kujinufaisha kwa kujiwekea mijengo ya kufa mtu na kununua magari ya kifahari .tunakuonea magufuli chukua hatua kwa hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…