Wana JF mambo ya nssf waacchieni wenye nchi utaumia moyo imekuwa kama michango yetu dili maana most of the source of income hawa jamaa washirika ya hifadhi ya jamii wanategemea contributions from employees but inapofika kuajiri wanasahau kabisa kwamba hizo pesa ni michango yetu. Sasa nimekuwa nikifuatilia maoni ya wana JF muda mrefu kuhusu mifuko hii kwa kawaida mie nina ndugu yangu mtu mkubwa tu ktk moja ya mifuko aliponieleza habari ya namna wanavoajiri ndugu zangu utaumwa bure nchi imeisha hii. Sitegemei kama kuna mtu ambaye hana mtu mkubwa wa kuwekea kimemo atapata kazi ila kitachotokea watu wote watawaita ila kuna watu wao tayari[special list] mambo kama haya yalitokea NAO watu walikuwa wana toa laki nne hivi ili jina lipitishwe moja kwa moja kwenye oral interview