NSSF, e-mail yenu ina tatizo

NSSF, e-mail yenu ina tatizo

symwo

Senior Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
152
Reaction score
49
Wanachezea akili zetu hawa,wametangaza kazi recently ila email address(dhra@nssf.or.tz) yao kila ukituma maombi inarudisha majibu kwamba imefeli na wametoa condition ya kuappy kwa email tu,isije ikawa kazi mshapeana mnatuzuga tu......
 
Wanachezea akili zetu hawa,wametangaza kazi recently ila email address(dhra@nssf.or.tz) yao kila ukituma maombi inarudisha majibu kwamba imefeli na wametoa condition ya kuappy kwa email tu,isije ikawa kazi mshapeana mnatuzuga tu......
Mbona mimi imeeenda mkuu jaribu kwa komputer nyingine
 
Huu ni wakati wa kuhinua uchumi wa nchi yetu TANZANIA .Lazima Serilikali hitumie kila mbinu kuhinua hali ya maisha ya wananchi.Kwasasa hivi Tanzania uchumi wetu mkubwa hunatokana na kilimo.Kwahiyo serikali lazima hitafute njia zingine zaidi kuhingiza mapato na hajira zaidi.Nafikiri tatizo kubwa zaidi ktk nchi yetu ni hajira kuwepo na mikutano namna la kutatua tatizo hilo.Sasa hivi tunawasomi na wanauchumi lazima wakae pamoja nakufafanua na jinsi ya kuwasidia wananchi .

umerudi kucheki kwenye email zako?kama haijarudi?maana mm nikituma zinaenda ila baada ya muda napata email kuwa hawajaweza kudeliver email yangu
 
Huu ni wakati wa kuhinua uchumi wa nchi yetu TANZANIA .Lazima Serilikali hitumie kila mbinu kuhinua hali ya maisha ya wananchi.Kwasasa hivi Tanzania uchumi wetu mkubwa hunatokana na kilimo.Kwahiyo serikali lazima hitafute njia zingine zaidi kuhingiza mapato na hajira zaidi.Nafikiri tatizo kubwa zaidi ktk nchi yetu ni hajira kuwepo na mikutano namna la kutatua tatizo hilo.Sasa hivi tunawasomi na wanauchumi lazima wakae pamoja nakufafanua na jinsi ya kuwasidia wananchi .

umerudi kucheki kwenye email zako?kama haijarudi?maana mm nikituma zinaenda ila baada ya muda napata email kuwa hawajaweza kudeliver email yangu
 
umerudi kucheki kwenye email zako?kama haijarudi?maana mm nikituma zinaenda ila baada ya muda napata email kuwa hawajaweza kudeliver email yangu
Nilituma alhamis mpk saizi sijapata sms ya not delivery
 
post gani hizo wametoa? je wanahitaji sifa zipi na una ambatanisha vitu gani naomba kujua tafadhali.
 
Back
Top Bottom