Nshomile akisifiwa! Anaongeza...!

Iko nyingine hii, Bwana Rweyemamu umefanyaje hadi watoto wako wanafuru hivi shuleni, Actually mimi mweneyewe nina ka masters, mama yao hawa watoto alimaliza Form six, akazaa watoto watuta nikampeleka chuo kikuu, mtoto wangu wa kwanza ana kadigiri kamoja, wa pili anamaliza form six kesho kutwa na mdogo wao nae hayuko nyuma, mtihani wa darasa la saba alipata division one.

Kazi ni kwenu, kama hata mtihani wa darasa la saba nao huwa na Division!

Te te te! actualy kama ameenda special school sawa na div 1
 
mbona unajihami sana KOKU! acha uwanja na wengine wajibu, kutokujiamini kwingine bwana!

Kwani humu kuna limitations za kujibu, na kuwaachia wengine?

Kila mtu si ana uhuru wa kuongea na kupost many times? Na kujibu vile anavyomuelewa mtoa mada na kujiridhisha kile alichokijibu?

Sasa mbona unaleta command zako hapa, km hukuridhika na nilichoandika toa hoja zako.
 
Wasukuma PROF BENO NDULU(BOTA), PROF. JUMANNE MAGEMBE(MIFUGO), DK. MAGUFULI(MIUNDO MBINU) na sis 2po halaft hatunaga infwact sie.
 
Wasukuma PROF BENO NDULU(BOTA), PROF. JUMANNE MAGEMBE(MIFUGO), DK. MAGUFULI(MIUNDO MBINU) na sis 2po halaft hatunaga infwact sie.

wewe ni kenge wa kijani kweli, Prof. Magembe akiwa waziri wa Mifugo na Dr. Mathayo Davide Mathayo awe nani?
 
ukitaka kujua ukweli nenda pale chalinze then uone magari yaliyobeba maiti yanaelekea wapi kwa sana then ndo uje hapa jukwaani utwambie n kabila gani linaongoza kwa kufa kwa ngoma then utapata jibu n kabila gani mala.ya na si kusingizia wahaya

hivi kumbe magari yanayosafirisha miili ya marehemu yanawekewa label kwamba marehemu amefariki kwa ugonjwa gani
vile! Kweli Kamugisha hazikutoshi. kwenye RED hapo kamugisha umechemsha! ni nani asiyejua kuna baadhi ya makabila katika nchi hii hawaziki marehemu wao mbali na walikozaliwa? Hata wengine mimba ikitoka ni lazima wakazike kwao au abortions nazo zinasababishwa na ukimwi nini? Kabila lenu tunajua mnakufa wengi tu ila magari ya maiti hatuyaoni kwa sababu nyie mnazika popote tu! hamna utaratibu unaoeleweka , Na hii ni kwa sababu hampendi kuridi kwenu mkishapata vijihela vya bia mnaanza kujisifu mijini eti MABEPARI WA KIHAYA ukiangalia wengi wenu kwenu hovyooo. Hapo hamu ya kurudi kwenu kusalimia au kuzika ipo kweli, sijui.Wahaya wa leo sio wale wa zamani kwa elimu! majina mnayoyataja kwenye post zenu hapo juu nyingi walikuwa na nafasi au wana madaraka ya kupewa (namaanisha nafasi walizonazo zinatokana na huruma ya mtu mwingine) kitu ambacho sidhani kama ni kitu cha kujisifu kwa mtu aliyesoma . Ningetegemea muweke majina ya wajasiliamali na wapambanaji wengine wanaotumia vizuri elimu zao za darasani kujiajiri na kuajiri wengine na sio hao wasomi wenu wanaosoma na kusubiri kuonewa huruma ya kupewa madaraka.
 
Kwanini huwa mnaogopa vivuli vyenu??Huwezi kukimbia kivuli........kama ndo hivyo basi jua ndo hivyo alfa na omega..wahaya ni zaidi ya binadamu wa tanzania....:israel:
 
Wewe hujui takwimu za ukimwi nchini kaulize ni mkoa gani unaongoza kwa ngoma.
 
Wapi papaa B2C dhahabu, wapi prof.RUGUMAMU ambaye kitanda chake kinalaliwa na degree saba,nne zake tatu za my wife wake!
 
Tanganyika bila wahaya hakuna taifa, wengi wanatutaka tumeamua kubaki hapa kwa wavivu naona mnaleta nongwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom