Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
huwa kuna utamu wake katk
kujibu
Utasikia...
RAFIKI: aisee kabila lenu mna
akili sana RUGAIMUKAMU: ofukoz, kwani
hukumbuki kipindi kire tukiwa
wingereza na akina blackberry
rweyemamu, iPod ruganyizi,
screen-touch rwezaura,
facebook rwekaza, message sent kokusima na vokswargen
rugangira tulikuwa tunaongoza
sana kwa kufauru darasani
JIRANI: rugaimukamu leo
umependeza
RUGAIMUKAMU: mh infwact ungeniona jana je?
MWALIMU: mwanao ana akili
sana darasani
RUGAIMUKAMU: actuare mimi
bado hajaniimpress kabisa, he
is not siriasi kwakweri
kujibu
Utasikia...
RAFIKI: aisee kabila lenu mna
akili sana RUGAIMUKAMU: ofukoz, kwani
hukumbuki kipindi kire tukiwa
wingereza na akina blackberry
rweyemamu, iPod ruganyizi,
screen-touch rwezaura,
facebook rwekaza, message sent kokusima na vokswargen
rugangira tulikuwa tunaongoza
sana kwa kufauru darasani
JIRANI: rugaimukamu leo
umependeza
RUGAIMUKAMU: mh infwact ungeniona jana je?
MWALIMU: mwanao ana akili
sana darasani
RUGAIMUKAMU: actuare mimi
bado hajaniimpress kabisa, he
is not siriasi kwakweri