Nshomile akisifiwa! Anaongeza...!

Ngoja wakasirike ruttashobolwa.

Ndo ukweli wenyewe, wakija watasema nina sifa kumbe ndo uhalisia.

Arafuuu, wahaya tuna akili bwana, hatuhitaji kubebwa.

mwakibakola, waambie waelewe wahaya akl ni za kurith, afu kila mtu anatuchukia cjui kwa nini, nimeacha kaz ktk ofc flan ksa bos hajui hesab nikimuhesabia et namuibia, nikaamua kuacha. Wasome waone
 
<br><br>UWIIIIIIIIII! hawa sijui ni watanzania wa wapi, kila kitu ni misifa na kujipendelea kwa kuwadhulumu wengine. Ktk chuo ninachofundisha tulimpata mama wa kihaya kama PRINCIPAL Wahaya wote wa mjini wakafanya chuo kama shamba la bibi, mkufunzi wa kawaida ambaye siyo mhaya huwezi kupata huduma ofisini kwani muda wote anapiga stori na wahaya wenzake bila kusahau foleni ndefu ya wanafunzzi wa kihaya wasiopungua ofisini kwake. Na lugha kuu pale ni kihaya. Mbaya zaidi ile sura ya kitaifa chuoni imepotea kabisa,&nbsp; 80% ni wanachuo wa kihaya na si kwa sifa bali kwa kubebwa. mbaya kupitiliza, akifeli mwanachuo ambaye sio mhaya mwongozo wa chuo unafuatwa lakini akifeli mhaya tena kwa haki kabisa, utasikia oooh mimi mlezi wake ooooo kwake kagera mbali sana arisiti kabla ya matokeo kutoka n amengine mengi hawa jamaa hatari kweli kweli hafu huyu mama namwoneaga huruma kwa utumwa wa kikabila alio nao akifeli mhaya tu hapo ofisini siku hiyo wageni na simu zote zinakuwa ni za wahaya za kumlumu kwa kumfelisha wa nyumbani. utasikia unamflisha mwanao aende wapi jamani.&nbsp;<br>
<br>

una chuki wewe,sibure!
 
mwakibakola, waambie waelewe wahaya akl ni za kurith, afu kila mtu anatuchukia cjui kwa nini, nimeacha kaz ktk ofc flan ksa bos hajui hesab nikimuhesabia et namuibia, nikaamua kuacha. Wasome waone

Umeona eee.
Tuko full. Chki za bure tu.
 
Kiboko ya Wahaya ni Idd Amin na askari wake, kwa hilo hawawezi jisifia, CHEZA NA KULIWA TIGO WEYE!
 
Hawa ni kweli wamesoma mama zao walitumia vizuri uchumi waliopewa na muumba kule mitaa yetu ile na kipato walichopata waliwasomesha watoto ndio ,hao leo mnawaona mapro
 
Kuna vitu huwa havibadiliki,in ths Planet;jua,mwezi na ukweli.In short,tumo hata kama hawataki,ndo ukweli haubadilikiiiii.Angalia Majembe kama akina Baloz Kagashek.prof.Tiba,Mkandala na mimi mwenyewe.
 
Wakati wanyamwezi, waha na wanyalu wanakata mkonge Tanga,
Wachagga, wahaya wanyakyusa walikuwa darasani,
Maeneo yanayo otesha kahawa ndiko shule ziliko anza,

Wanyiramba, wahehe na warangi wamekuwa wakisupply Ma house girl siku zote,
sasa hivi meza imeanza kugeuka.

Maeneo yaliyokuwa na idadi kubwa ya vijana shuleni miaka ya 50 leo yanaongoza kwa wasomi.
30 years from now utashangaa PhD nyingi zinatoka Iringa, Kondoa, Tabora, Shinyanga, Kigoma
Sasa hivi mikoa iliyokuwa nyuma kielimu ndiyo yenye walimu wengi wa sekondari kuliko mikoa mingine yote.


Wahaya, wachagga sasa hivi wanajikita zaidi katika biashara na utapeli
suala kwamba kabila fulani wana akili si sahihi.
hapo kwenye red, isije kuwa mambo ya elimu kwa kulinganisha Waingereza miaka 500 iliyopita wakiwa na vyuo (sijui Cambridge na Oxford pekee) na Tz ya leo yenye vyuo zaidi ya 100 sasa!
 
Iko nyingine hii, Bwana Rweyemamu umefanyaje hadi watoto wako wanafuru hivi shuleni, Actually mimi mweneyewe nina ka masters, mama yao hawa watoto alimaliza Form six, akazaa watoto watuta nikampeleka chuo kikuu, mtoto wangu wa kwanza ana kadigiri kamoja, wa pili anamaliza form six kesho kutwa na mdogo wao nae hayuko nyuma, mtihani wa darasa la saba alipata division one.

Kazi ni kwenu, kama hata mtihani wa darasa la saba nao huwa na Division!
 
ukitaka kujua ukweli nenda pale chalinze then uone magari yaliyobeba maiti yanaelekea wapi kwa sana then ndo uje hapa jukwaani utwambie n kabila gani linaongoza kwa kufa kwa ngoma then utapata jibu n kabila gani mala.ya na si kusingizia wahaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom