Nsff tendeni haki

Jamani tusio na marefarii tulie tu. si Udom yametokea, tumefanya
written kada mbalimbali. Wameitwa kada chache na wengine haijulikani.
 
hakuna kitu nsff kuna nssf national social securty fund WE BUILD YOUR FUTURE
Mkuu Shida iko wapi, hujaelewa au kuna matatizo mengine personal? Huyo ndugu sio kwamba hajui kama inatiwa NSSF bali ni vidole tu vimechanganyikiwa. Vinginevyo hata kwenye details angekuwa ameandika kimakosa (nsff) badala ya NSSF. Sasa tukianza kuangalia matatizo madogo kama hayo hatutaweza ku-discuss kitu hapa, maana hata wewe mwenyewe pia umekosea; hakuna "nssf" bali kuna "NSSF" (in capital letters) kwasababu hicho ni kifupisho cha jina (Abbreviation). Ushauri wangu kwa wanaJF wote Mwaka 2012 tuutumie ku-discuss vitu ambavyo ni productive badala ya kuangalia vikosa viduchu ambavyo hata mtu akirekebisha havileti tofauti yoyote katika discussion. Ni mtazamo wangu tu.
 
Mtoa mada sidhani kama unayajua hayo majina.
Kama unayajua naamini ungeyaweka hewani humu humu kwanza.
 
Jamani,hata shortlisting sijui ilifanyikaje.Maana mutu ilikuwa nyomi Jumamosi!
 
haimaanishi kuwa wote wale hawana ajira. Wengine wanataka tu kubadili diet. Hii ni changamoto kwa wahitimu. Kujiajiri hakuepukiki
 
Haki huwa inatendeka ila baadhi ya wana jf mnakurupuka.Sasa umati ule wa ifm na nafasi zitakazotolewa hivi ni kweli kabisaaaaaaaaaaaaaaaa watuajiri woooooooote waliofanya written interview pale ifm au?Obvious haiwezekani.
 
Yaani hawa jamaa bwana, hata mimi walinitext tarehe 29/12/2011 for interview but machale yakanicheza nkasema nsipoteze nauli bure kumbe mambo yenyewe ndo hayo mhm. Haya bwana wenye NSSF yao.
 
suala la msingi ni kutokata tamaa tu ,kwa hakiaka ajira za sasa zina ukiritimba sana. kama mwenyezi mungu aliandika wewe utafanya kazi nssf basi agano lako litatimia sababu kazi zote za sasa ni za vimemo na watoto wa wakubwa ndo wenye nasafi za kufanya kazi zote zenye kipato kizuri.usikate tamaa tumpe mungu nafasi yake sababu yeye ndo humpa kila mtu ridhiki yake .hata mimi nimefanya hiyo writen na najua fika kuwa mama na baba ni wakulima lakini siku zote mungu hunipa kile nimuombacho thats all i blv in me.dont give up fellas let us put the hands together.kulalamika ni dalili ya kushindwa guyz.
 
Yaani hawa jamaa bwana, hata mimi walinitext tarehe 29/12/2011 for interview but machale yakanicheza nkasema nsipoteze nauli bure kumbe mambo yenyewe ndo hayo mhm. Haya bwana wenye NSSF yao.

bora hata wewe machale yalikucheza mapema mimi nimeliwa, nilifunga safari usiku mnene kwenda dar.nukta
 
Haa mie nilidhani uozo wa nssf ninkwenye kutoa huduma tu kumbe uozo unaanzia kwenye mchakato wa namna watoa huduma wanavyopatikana???
Kwni kuna tatizo gani hao watu wanaopigiwa pande kufanya usail hatua zote kama wengine, kama wana uwezo watapata tu kazi au ni VIHIYO???


mimi ni mwingoni wa watu waliofanya written interview jana ila habari za uhakika toka ndani ya NSSF mawaziri wa nchi kibao wamepeleka majina ya watu wao wasidhani hii tz ya mwaka huo sasa ni zama za uwazi na ukweli.
Ninakusudia kuyaweka hadharani majina aliyoyapeleka waziri wa maliasili Maige yako kama nane nasubiria kama matokeo ya watu hao yatapitishwa ninafuatilia pale IFM inasemekana jamaa hawajafanya hata paper huu uonevu mkubwa sana watu tutafanyaje kwa staili hii kisa Maige alikuwa mmoja wa wajumbe wa mfuko huu sasa naahidi nitayapeleka majina hayo kwenye magazeti nitagharimia yawekwe wazi watu wafahamu uozo unaofanywa na wanaojiita wenye nchi.
Pia wanapa tahadhari NSSF kitengo cha uajiri HR nitawaumbua fuateni haki
 
nchi hii haiendelei kwa sababu hii, serikali ambayo ndio mdau mkubwa ktk maendeleo ya nchi ndio inayoongoza kwa kuajiri weak people, hadi namaliza chuo kikuu majority ya brightest people wako private sector kwa sababu vipanga wanakuaga watoto wa maskini hata kazi hana wa kumpigia kifua ila private company wanawaona, na uzuri wa private company if u dont deliver u knwo u will b fired! god bless all who work in tz private sector ur building the nation.
 
Ok, hilo la ajira ya NSSF na uchakachuaji ni taswira ya mfumo wa uajiri katika nchi hii, kweli kazi ipo.
Tukiangalia upande wa pili, hivi ni kweli NSSF haijawahi kufanya fyongo/ubadhirifu zozote katika utendaji wake wa kazi?Mbona sijawahi kusikia ikinyooshewa kidole bungeni hata katika vyombo vya habari?Pale pana mkono wa nani?
 
"huwezi kupata kazi hata ya kukata tiketi pale ubungo..nsff ndo nini?hebu kwenda huko...akili huna unataka kusumbua watu hapa..nenda kalime "

Common sense is not common to every body
 
Back
Top Bottom