Now i believe: We differ

Now i believe: We differ

kama uko serious bestito ondoa shaka nitakufanyia mpango
ukipate kama uko dar ndo itakuwa ni vyema lakini kama uko
mkoani naweza fanya mipango ya kukisafirisha lakini kinauzwa
besti hujue ni buku 5 tu
hongera bi dada nami nataka copy ya hiko kitabu nikisome nikuze knowledge yangu...Itabidi uniwekee na signature pia ladyfurahia
 
sitajali unakaribishwa bestito
ninacho kimoja ila naendelea kutunga
kingine kitakachoitwa KIBALI hivyo kaeni
mkao wa kula kiko njiani kinakuja


Ni jambo zuri na adimu kwa watanzania kufikiria kutoa vitabu kwa yale wanayopenda wengine wajifunze. Napenda niwe pamoja na wewe ktk kila hatua za kufanikisha hicho kitabu kinakamilika. sitaki kuwa nyuma yako wala mbele yako bali niwe bega kwa bega na wewe ikiwa hutajali..
 
ladyfurahia ni kweli tuko tofauti hatufanani. Wako watu wanaumiza mioyo ya wenzao na hupenda kuwaona wakiteseka halafu ukikutana nao tabasamu huwa limejaa usoni mwao. Huwa najiuliza binadamu anapata faida gani anapoona wengine wanaumizwa na kuteseka. Hasa watu wachonganishi hawa ndio wabaya zaidi sehemu nyingine huitwa ndumila kuwili, watu hawa hawafai. Tuishi kwa kupendana na kuhurumiana na tena tuchukuliane mizigo na hata ikiwezekana tuwe wepesi wa kusameheana kwani sisi ni binadamu viumbe dhaifu na tuna mapungufu mengi.
 
ni point kabisa bestito shukrani
ladyfurahia ni kweli tuko tofauti hatufanani. Wako watu wanaumiza mioyo ya wenzao na hupenda kuwaona wakiteseka halafu ukikutana nao tabasamu huwa limejaa usoni mwao. Huwa najiuliza binadamu anapata faida gani anapoona wengine wanaumizwa na kuteseka. Hasa watu wachonganishi hawa ndio wabaya zaidi sehemu nyingine huitwa ndumila kuwili, watu hawa hawafai. Tuishi kwa kupendana na kuhurumiana na tena tuchukuliane mizigo na hata ikiwezekana tuwe wepesi wa kusameheana kwani sisi ni binadamu viumbe dhaifu na tuna mapungufu mengi.
 
sitajali unakaribishwa bestito ninacho kimoja ila naendelea kutunga kingine kitakachoitwa KIBALI hivyo kaeni mkao wa kula kiko njiani kinakuja
Jambo zuri sana, unatunga kwa mtindo wa fiction au non-fiction? Nipe japo chapter moja ili nami nikupe japo kisa kimoja. Unipe na maudhui ya kitabu chako ili nisitoke nje ya lengo. nitafurahi kama utaniPM ili nikumbukie mambo ya shule.
 
oky mara nyingi mambo mazuri hayataki haraka
na haraka haraka haina baraka
hivyo kuwa mvumilivu kwani mvumilivu hula mbivu


Jambo zuri sana, unatunga kwa mtindo wa fiction au non-fiction? Nipe japo chapter moja ili nami nikupe japo kisa kimoja. Unipe na maudhui ya kitabu chako ili nisitoke nje ya lengo. nitafurahi kama utaniPM ili nikumbukie mambo ya shule.
 
oky mara nyingi mambo mazuri hayataki haraka na haraka haraka haina baraka hivyo kuwa mvumilivu kwani mvumilivu hula mbivu
Methali hujibiwa kwa methali best:- Linalowezekana leo, lisingonje kesho na chelewa chelewa, utamkuta mwana si wako. kwa waingereza wao husema Tomorrow never come. Lakini usijali sana best tupo pamoja sana. salaam sana na weekend tulivu.
 
asante bestito jamani una mithali za mafundisho weye!
oky nitawasiliana nawe j3 acha weekend hii niwe flesh kiasi
nawe pia nakutakia weeekend njema

Methali hujibiwa kwa methali best:- Linalowezekana leo, lisingonje kesho na chelewa chelewa, utamkuta mwana si wako. kwa waingereza wao husema Tomorrow never come. Lakini usijali sana best tupo pamoja sana. salaam sana na weekend tulivu.
 
Yote ni changamoto ya maisha cousin wala isikupe shida, ukishagundua mtu yupo tofauti na wewe au anakuwazia mabaya we temana nae na usonge mbele.

***USIMPE NAFASI ADUI ATAWALE MAISHA YAKO***
 
Yaa! ni kweli umenena ndugu yangu
dunia hii ni hadaa kweli kweli tena
inashangaza mno na cha muhimu ni
kusonga mbele wala tusijaili adui
amekufanyia nini best thanks


Yote ni changamoto ya maisha cousin wala isikupe shida, ukishagundua mtu yupo tofauti na wewe au anakuwazia mabaya we temana nae na usonge mbele.

***USIMPE NAFASI ADUI ATAWALE MAISHA YAKO***
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom