bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Ubarikiwe ila tu usije ukamuanzishia thread mara ohoo hajui sijui kufanya nini
na isitoshe atulie kwanza na mchumba wake , asije akaanza kutamani mpango wa nje mapemaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Ubarikiwe ila tu usije ukamuanzishia thread mara ohoo hajui sijui kufanya nini
Thubutu, nitakung'oa meno tuone utampata nani
I will b the 1st ku2ma maombi!!!
eeeh sasa na hayo meno itakuwaje mambo flani?
So rukhusa ku2ma maombi???au na wewe upo buked kama Pearl 2cje 2katoana Dental wakti sahiv nisharecover!!
Dental isha recover hii picha ya utotoni usijali kwa hilo!!!!
gud
if its real kp t real2
mwombe mungu akupe menu ya kuendana na uyo mwandani wako mpya.
mungu awabariki
na isitoshe atulie kwanza na mchumba wake , asije akaanza kutamani mpango wa nje mapemaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Tunashukuru sana jituoriginal kwa kuwa shemeji yetuNashukuru,nimepata mchumba ,kupitia JF, niliweka tangazo kama one month iliyopita, kuna member mmoja akanipa sister yake,tumeelewana taratibu nyingine zinaendelea. Nilipata maombi mengi .
hahahah lol mi ntakwambia yangu nikiona thread yako ya kutafuta hahahah lol.
mmmhhh lakini hayo meno yako mmhhh yaninitia matatani ..
nimeyapenda ile mbaya...
yaninikumbusha ya mume wangu wa kwanza Shreek hhahahahah lol
basi niwekee ya sasa
Pls nipe contact zako coz hii ni private issue nikiweka hapa naogopa kuvunja ndoa za wa2!!
ha ha ha ha mpango wa nje bana noma sana usije ukaleta mambo kama ya rombo green view
Dental inatoa raha wakti wa mambo fulani ndo inawatia matatani mabinti wengi so sishangai sana kwa hilo.
Jamani hadi nianzishe thread ya maombi??si hata kwa PM???
Wanajf ,historia yangu ilikuwa niwe Padri, ila sikuwa na wito,nitatulia na mke wangu mtarajiwa.
KWA KWELI,NAMSHUKURU MDAU NA WADAU WOTE WA JF,WALIOWASILIANA NA MIMI KWA UPANDE MMOJA HAIKUWA KAZI NDOGO ,LAKINI KUPATA MCHUMBA UNAYEMTAKA NA SIFA ANAZO NINAZOHITAJI. BARUA YA POSA IMEPOKELEWA .MAMBO MAZURI WADAU'VIPIMO SAFI'MAENDELEO YA HARUSI NITAWAJULISHA.NADHANI ITAKUWA VAlENTINE DAY 2011 .
ufadher unataka wito,si unaona mambo kunajisi kwa wanaolazimisha wito,huku wito huna.duuuhhh haya safi sana lakini ...
Ilimradi ulijitoa mapema safi...
hahahah lol mme wangu wa kwanza ilikuwa Paka Mweusi
wa pili nata thread hahah lol