Hii itawapa tabu makonda kwenye chenjiJibu rahisi mkuu. Mfumuko wa bei
Tanzania tunakimbilia hyper inflation. Kwa mwendo wa mfumuko huu, ili kunusuru kuongezeka kwa noti zaidi, serikali inabidi iprint noti ya 20,000 ASAP
Uganda wana noti ya juu laki 1 sidhan kama sasa hv wana noti ya 10k pia wana noti ya 50kJibu rahisi mkuu. Mfumuko wa bei
Tanzania tunakimbilia hyper inflation. Kwa mwendo wa mfumuko huu, ili kunusuru kuongezeka kwa noti zaidi, serikali inabidi iprint noti ya 20,000 ASAP
Tusiwaige...ukiongeza 'nominal value' unashushia thamani pesa yako.Uganda wana noti ya juu laki 1 sidhan kama sasa hv wana noti ya 10k pia wana noti ya 50k
Nchi zilizosimama kiuchumi nazo zina print not kwa kuongeza sufuri?Jibu rahisi mkuu. Mfumuko wa bei
Tanzania tunakimbilia hyper inflation. Kwa mwendo wa mfumuko huu, ili kunusuru kuongezeka kwa noti zaidi, serikali inabidi iprint noti ya 20,000 ASAP