Noti mpya hazina ubora?

Ndio Tanzania ya leo, Uchumi unaendeshwa kwa kujaza mihela mitaani maanake kama utajiri ni fedha basi chapisha nyingi kwa mabillioni kila mtu atatajirika.. Hesabu za Idd Amin na JK.
 
jamani nyie acheni tu, mie sasa hivi nimetoka kuvuta noti za zamani kwenye ATM, halafu juzi kwa macho yangu nilikuwa azania benki nikaona jamaa wa back desk anazipanga noti za zamani zikiwa mpyaaaaaaaa tena mafundo mafundo, niliguna tu na kujisemea moyoni tunaenda wapi Tanzania.

Walituambia hela mpya inayofiti kwenye wallet maajabu waleti yangu nikiziweka utadhani hazimo hasa kile cha miatano.


Swaaaaaaadaktaaaaaaaaa!!!!
Hiyo ndio nia yao kwani hela haina thamani tena bila hivyo itabidi ukienda sokoni ubebe kapu kwa ukubwa wa hela zile za zamani!
 
Nchi nyingine wale the two stooges wa Benki Huu na Hazina wangejiuzulu

GO9G4760.JPG
 
afu hizi mpya zimechakaa kuliko za zamani!!! ajabu na kweli, yani kabuku kapya ukute kameshikwa2 na konda utafikiri nguo ilionyeshewa ikachujia rangi.
 
Kuna habari za kuaminika kuwa noti mpya ambazo zilitengenezwa kwa gharama kubwa na kuwa launched kwa mbwembwe nyingi zimeondolewa kinyemela kwenye mzunguko kwa sababu zilichakachuliwa,
nashawishika kuamini kwa sababu benki zote kwa sasa hazina noti mpya ni za zamani tu. Naomba mwenye undani zaidi atufungue macho ni nini kinaendelea!
 
Kuna habari za kuaminika kuwa noti mpya ambazo zilitengenezwa kwa gharama kubwa na kuwa launched kwa mbwembwe nyingi zimeondolewa kinyemela kwenye mzunguko kwa sababu zilichakachuliwa,
nashawishika kuamini kwa sababu benki zote kwa sasa hazina noti mpya ni za zamani tu. Naomba mwenye undani zaidi atufungue macho ni nini kinaendelea!

Kwani zimeondolewa kinyemela bila kutangaza? Na unaposema "zilichakachuliwa" una maana gani hasa? Je, kuna wizi ulitokea au zilitengenezwa bila kiwango?
 
Yani hizi noti zote ni changa la jicho yote hata watoto wadogo wanalijua hili. Yani mi naona irudishwe ile noti ya kawaida iendelee tu.
 
Wakuu habari za wikiend!
Jamani me nashangaa hizi noti mpya, kwa mara ya kwanza angia ilipotangazwa kua zimeanza kuingia katika mzunguko
zilikua zinazunguka kwa kasi sana.nadhani hii ilikua ili kuhakikisha kua zile za zamani zinaisha katika mzunguko na hizi mpya kutawala.
ATM nyingi nilizokua naenda zilitoa noti hizi mpya.
lakini watu tukalalamikia sana ubora wa zile noti.ila BOT na serikali walijitete sana kua hazikua na tatizo na zilikua na ubora kulkoa hata zile zilizotangulia.
Lakini kwa sas nimepata doubt moja, manke kila nikidroo hela kwa ATM au Mpesa(ndo nazotimia sana) napata noti zile za zamani.
sasa ninyi mmeligindua hili wandugu??
kama mmeliona pia, ndo tuseme mkubwa hajambi??yaanii. serikali na BOT yake wamekubali kua zile mpya ni mbovu na kuna mpango wa kisiri kuziondoa katika mzunguko??
kama ni hivyo, ni hasra kiasi gani iliyoingiwa na serikali kutengeneza hizo hela ambazo ni mbovu??
nawasilisha.
 
kwakwel cjui kuhusu hlo maana ck nyng cjaenda atm, lakn ukwel n kwamba not mpya hazifai mfano znatoa rangi.
 
hapa dodoma ndiyo zaidi. mpya zinaonekana kwa nadra sana, hasa zile za sh. elfu kumi
 
Wahusika wa Ma-Benki, wanakwambia wakienda huko BOT kuchukua hizo noti, wanapewa za zamani, na nimarufuku kuoji! hivyo basi kama huna supply ya kuweka kwenye ATMs, ni lazima urudishe noti zinazopatikana, ambazo ni za zamani.

BOT hovyo kabisa, unajua walikuwa kama wanawalaumi mabenki kwa kutoweka hizo pesa mpya, walipoanza kufanya hivyo mara wanapewa za zamani.
 
Wahusika wa Ma-Benki, wanakwambia wakienda huko BOT kuchukua hizo noti, wanapewa za zamani, na nimarufuku kuoji! hivyo basi kama huna supply ya kuweka kwenye ATMs, ni lazima urudishe noti zinazopatikana, ambazo ni za zamani.

BOT hovyo kabisa, unajua walikuwa kama wanawalaumi mabenki kwa kutoweka hizo pesa mpya, walipoanza kufanya hivyo mara wanapewa za zamani.
mh! hii nchi hii??
kwa hyo ndo tuseme wameona noma kukubali ukweli ila wanjirekebisha kimyakimya.
watu washakula hela zao mingi mno hapo.ila ndo hivo uchumu unazidi kuporomokatu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom