Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Huu sasa umekuwa ubazazi. Jana nimepokea noti kadhaa kutoka benki ya posta zenye thamani ya sh 10000 kila moja. Bila ya wasiwasi nikazitumbukiza mfukoni nikiamini kwa kuwa zinatoka benki hakuna wasi wasi. Nikaendelea na mambo yangu. Noti hiyo imegunduliwa kuwa ni feke pale Mlimani City baada ya kununua vitu kadhaa na kufanya malipo. Tahadhari, hata benki nao wanaingizwa mkenge, kuweni makini.