Not registered on network

Hiyo ni shida kuu ya Samsung iwe ni copy au og, na hutokea ikiwa simu uta ireset au kuflash.

Cheki imei ya ndani na ya nje zinafanana? Kama hapana iandikie IMEI.
Vile vile kama hazifanani iandikie IMEI.
Unaandikaje
 
hiyo simu umeiba...rudisha kwa mwenyewe au njoo na 45k.....nikutengenezeee
 
Mkuu bila shaka hii simu yako uliinunua mtaani, tafuta fundi wa software aipatch certificate ili upate network, tofauti na hapo hakuna msaada mwingine. Inatakiwa hapo kwenye IMEI Status isome "OK."

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Upo sawa kabisa anatakiwa afanye network repair kitaalam(patching certificate) na siku utakapoifanyia factory reset tatizo litarudi since simu itapoteza ile patch.Ili uweze kurepair network simu inahitaji super user ndio maana mnashauriwa kuroot ili kupata super user access ambayo inakusaidia kufanya deep modification ya system file.Zoezi la network repair(patching) halihusiani na imei repair.Tujitahidi kutii sheria bila shurti imei repair ni illegal nchini kwetu
 
Ooho hili tatizo la simu nyingi za samsung ukizifanyia factory reset bhasii shida
 
Ooho hili tatizo la simu nyingi za samsung ukizifanyia factory reset bhasii shida
mkuu acha kudanganya watu kuhusu IMEI repair, IMEI repair is not illegal but IMEI change.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…